Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Nimemsikia Nape akitapika na kula matapishi kwenye taarifa ya habari ya moja ya vituo vya redio hapa Bongo.
Ati Chadema wamebaka demokrasia. Sijui huyu mtumia-mkorogo ameupata wapi huu msemo wa kijinga maana kila akisogezewa microphone wimbo wake ni mmoja...Chadema kubaka demokrasia.
One thing, CCM have to thank their gods: Chadema hawakusimamisha mgombea uchaguzi mkuu 2010, maana wangeshindwa vibaya katika hii By Election.
Nepi lazima akubali kuwa Watanganyika sasa wanachokitaka ni kuiondoa CCM madarakani na kuiweka Chadema.
Chadema ni nyuki.
Nyuki hakumbatiwi.
Nampa homework Nepi:
Honga mahakama, batilisha matokeo Jimbo la Ubungo, Kawe, Arusha na kwengineko mtakakotaka.
Tangaza tarehe ya uchaguzi halafu uone moto.
Szczesny kabisa.
People's Power!!
Ati Chadema wamebaka demokrasia. Sijui huyu mtumia-mkorogo ameupata wapi huu msemo wa kijinga maana kila akisogezewa microphone wimbo wake ni mmoja...Chadema kubaka demokrasia.
One thing, CCM have to thank their gods: Chadema hawakusimamisha mgombea uchaguzi mkuu 2010, maana wangeshindwa vibaya katika hii By Election.
Nepi lazima akubali kuwa Watanganyika sasa wanachokitaka ni kuiondoa CCM madarakani na kuiweka Chadema.
Chadema ni nyuki.
Nyuki hakumbatiwi.
Nampa homework Nepi:
Honga mahakama, batilisha matokeo Jimbo la Ubungo, Kawe, Arusha na kwengineko mtakakotaka.
Tangaza tarehe ya uchaguzi halafu uone moto.
Szczesny kabisa.
People's Power!!