Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,292
- 33,903
Kama nyie kila siku kazi yenu ni kulaumu wapinzani mambo yanapokwenda kombo na kwa kushindwa kwenu kufikia malengo mliyojiwekea badala ya kutafuta ufumbuzi, tuwaeleweje. Sasa kama mnaweza kukwamishwa na walio nje ya serikali ni kwa nini mliomba kuiongoza serikali?