Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
- Thread starter
- #21
Hadi sasa bado sijapata mantiki kwa JK kutoa agizo kama lile liliwaumbua si kwa polisi wake moja kwa moja, bali pia kwa makada wa chama chake.
Inawezekana ktk siasa hizi za ushindani JK is a good person after all, lakini tatizo ni watendaji wake ambao wanahangaika kila siku kujipendekeza kwake.
Inawezekana ktk siasa hizi za ushindani JK is a good person after all, lakini tatizo ni watendaji wake ambao wanahangaika kila siku kujipendekeza kwake.