Walianza kizota baada ya kuitumia kunadi sera kwa wapiga kura wa wajumbe wa NEC katika zile nafasi 10, kila aliyenadi sera kwa wapiga kura alitoa ahadi ya kupambana na CHADEMA
Jana nimemsikia Waziri mstaafu Edward Lowasa akisema elimu ya sekondari kutolewa bure inawezekana, kumbuka hiyo ilikuwa ni sera ya CHADEMA iliyopingwa na CCM kwenye uchaguzi mkuu 2010
Ni kamsikia tena Mh. Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyekiti wa CCM viwanja vya mnazi mmoja akisema kwa wanachama tukazane kufanya mikutano ya hadhara kwa wananchi kama wenzetu wanavyofanya (CHADEMA) vinginevyo chama chetu kitaangamia
Nawasilisha
Jana nimemsikia Waziri mstaafu Edward Lowasa akisema elimu ya sekondari kutolewa bure inawezekana, kumbuka hiyo ilikuwa ni sera ya CHADEMA iliyopingwa na CCM kwenye uchaguzi mkuu 2010
Ni kamsikia tena Mh. Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyekiti wa CCM viwanja vya mnazi mmoja akisema kwa wanachama tukazane kufanya mikutano ya hadhara kwa wananchi kama wenzetu wanavyofanya (CHADEMA) vinginevyo chama chetu kitaangamia
Nawasilisha