Tutaendelea kuichagua ccm ngazi zote kuanzia udiwani, ubunge hadi urais nchi nzima hadi ichoke yenyewe
Bila shaka haupo sawa,inamaana unafurahishwa namaisha wanayoishi wazee wako vijijini yakutokuwa hata nauhakika wamlo mmoja kwasiku? Elimika,usitake kuwarudisha watu nyuma kifikra,watu wameshaona ukombozi upo mbele yao,wewe unataka kuturudisha nyuma! Ushindwe naulegee kwajina la YESU