Kamati kuu ya CCM mkoa wa Ruvuma imethibitisha kuwa maamzi magumu hayawezi kufanyika ndani ya CCM. Hii ni baada ya kuyatupilia mbali maamuzi ya kamati ya siasa wilaya kuhusiana na kuwavua uanachama madiwani watano wa ccm wanaoendelea na msimamo wao wa kutokumtambua Meya wa manispaa ya Songea!
Katibu wa CCM mkoa wa Ruvuma jana alitangaza uamuzi wa kuwarudishia uanachama madiwani ambao tiyari kamati ya siasa ya wilaya ilikuwa imewavua uanachama.
NATAMANI KUSIKIA MAONI YA PINDA, NAPE, MKUCHIKA NA WANACHAMA WENGINE WA CCM WALIOKUWA WANAWAUNGA MKONO MADIWANI WALIOTIMULIWA NA CHADEMA HUKO ARUSHA.
Katibu wa CCM mkoa wa Ruvuma jana alitangaza uamuzi wa kuwarudishia uanachama madiwani ambao tiyari kamati ya siasa ya wilaya ilikuwa imewavua uanachama.
NATAMANI KUSIKIA MAONI YA PINDA, NAPE, MKUCHIKA NA WANACHAMA WENGINE WA CCM WALIOKUWA WANAWAUNGA MKONO MADIWANI WALIOTIMULIWA NA CHADEMA HUKO ARUSHA.