rahimz
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 214
- 152
Hawajiamini kabisa hawa watu.Kwanini unateseka wakati ni fursa kwenu kupita Bila kutumia nguvu Wala kuua akina akwilina wengine?
Mbona Mmepita Bila kupingwa majimbo mengi Sana Na mnaongoza fresh tu Na Uchumi unakua!!!
Acheni uoga