insuperable
JF-Expert Member
- Jan 27, 2019
- 299
- 241
Hivi mh.polepole yupo wapi siku hizi?
Msilalamike mnapo rahisishiwa kazi.Tena msipojiandikisha ndo tutashinda kirahisi zaidi
Hata mjinga analijua hilo. Lakini ufahamu wananchi wenye akili, pamoja na kulijua hilo, wameamua walichoamua.Watakaojiandikisha ndio watakao piga kura.
Jana nimeenda kujiandikisha, watu wanaendelea tu na mambo yao...
Muandishi akaniuliza "utakuja kupiga kura kweli?"
Nikajibu, kujiandikisha ni haki yangu pamoja na kupiga kura pia, ila inategemea mazingira....
Anajenga chamaHivi mh.polepole yupo wapi siku hizi?
Kwanini unateseka wakati ni fursa kwenu kupita Bila kutumia nguvu Wala kuua akina akwilina wengine?Huu ni upumbavu uliopitiliza. Watu kutojiandikisha mnamlaumu mtu na kushinda kwenye mitandao.
Wakati hata ulaya na marekani mnapofikiri demokrasia imekuwa wanapita Nyumba Kwa Nyumba kuomba watu wajiandikishe.
Na siku ya kupiga kura volunteers wanaenda Nyumba Kwa Nyumba kupeleka watu vituoni.
Ninyi wapinzani mabwege pelekeni ujinga nyumbani.
Mabwege ni familia yako, wazaa bwegeHuu ni upumbavu uliopitiliza. Watu kutojiandikisha mnamlaumu mtu na kushinda kwenye mitandao.
Wakati hata ulaya na marekani mnapofikiri demokrasia imekuwa wanapita Nyumba Kwa Nyumba kuomba watu wajiandikishe.
Na siku ya kupiga kura volunteers wanaenda Nyumba Kwa Nyumba kupeleka watu vituoni.
Ninyi wapinzani mabwege pelekeni ujinga nyumbani.
🙆🏽♂️🙆🏽♂️🙆🏽♂️Shindeni ata gadaffi alishinda hivyo hivyo.Yaani wewe unawazuhia wenzeko kuingia darasani kuchukua notes then unataka ushindane nao kwenye mitihani? PUMBAVU
Ukweli ni kuwa wameona hakuna haja ya Uchaguzi sabbu serikali iliyopo inafanya kazi ile waliyo kuwa wakiitaka pale ambapo wanaona kuna umuhimu wa kufanya mabadiriko bila shaka utawaona wakiwa wamejiandikisha kwa idadi kubwa.Habarini Wadau,
Ninasema wazi kabisa ninachokishuhudia katika zoezi la uandikishaji wa wapiga kura katika kuchagua viongozi wa serikali za mitaa, yaani Wenyeviti wa Kijiji, wenyeviti wa Kitongoji na Wajumbe wa Halmashauri kuu ya vijiji.
Kwakweli katika Wilaya nyingi wananchi HAWAJIANDIKISHI KABISA, kwa anayebisha apite katika vitongoji karibu vyote, Wananchi hawataki kujiandikisha.
SABABU WANAZOTOA :- Wengi wa wananchi wanalalamika kwa kubanwa kwa wagombea wao wa vyama vya upinzani ambao walikuwa tayari kuwachagua.
Unakutana na wananchi wanakuambia wazi kabisa ''Sina muda mchafu'' wa kujiandikisha na kupiga kura kwasababu watakaoshinda kwa hila na nguvu wanajulikana.
Nailaumu CCM, hususan Mwenyekiti wao aliyewanyima wapinzani haki yao ya kujieleza kwa Wananchi wao.
Sasa naona wanaoweweseka sana ni haohao viongozi wa CCM, kwa kulaumu mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara kuwa ndio hawajafanya uhamasishaji kwa wananchi ili wajiandikishe.
Mh. Suleiman Jaffo, Waziri wa Nchi O.R TAMISEMI amewashitaki kwa Rais wasimamizi wote wa mikoa hii ya Kaskazini kwamba uandikishaji ni hafifu Mnoo kwakuwa hawajahamasisha. Haijatosha ametoa agizo kuwa sasa ni lazima wananchi waandikishwe kwa zaidi ya 50%
Kingine tena, Leo wasimamizi wameagiza tena waandikishaji wapite nyumba kwa nyumba kuandikisha.
Waandikishaji nao wanagoma kwenda mpaka walipwe kwasababu sehemu nyingi zipo remoted na mbali...na pia ni kazi ngumu kwakuwa mwanzoni walikubaliana kukaa katika vituo rasmi vya kuandikishia.
SWALI LA MSINGI : Kwanini mnalazimisha watu kujiandikisha?
Hata sehemu isiyo na Upinzani kabisa kama Same na tambarare ya Mwanga ambapo CCM inatawala siku zote pia wananchi wengine hawajiandikishi.
TATIZO NI NINI?
Siku zote ''Mshahara wa Dhambi ni Mauti''
Haya ni Mauti kwa upande wa kaskazini.
Acha upimbi wewe Marekani au Ulaya hawahamasishi nyumba kwa nyumba au kuwapeleka watu wakapige kura. Hiyo kitu hakipo.Huu ni upumbavu uliopitiliza. Watu kutojiandikisha mnamlaumu mtu na kushinda kwenye mitandao.
Wakati hata ulaya na marekani mnapofikiri demokrasia imekuwa wanapita Nyumba Kwa Nyumba kuomba watu wajiandikishe.
Na siku ya kupiga kura volunteers wanaenda Nyumba Kwa Nyumba kupeleka watu vituoni.
Ninyi wapinzani mabwege pelekeni ujinga nyumbani.
Sasa mnalilia nini kuwatisha Ma Dc na Ma Rc kumbe ushindi uko mezani?! Unakila kitu lakini bado hujiamini.Tena msipojiandikisha ndo tutashinda kirahisi zaidi