G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
CCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.
Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.
Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.
Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!
Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.
Hakuna tena mzaha!
Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.
Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.
Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!
Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.
Hakuna tena mzaha!