Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Bendela hizi hapa chini zinatia aibu. Zimechanika na bado zimeng'ang'ania mitini
Moja ni bendela ya halmashauri ya wilaya ya Muleba mkoani Kagera.
Ya pili ni bendela ya sisi m. imekutwa kwa mwenyekiti wake wa tawi moja huko Bukoba. Kama bendela haziwezi kubadishwa na kuwekwa nzuri je maendeleo yanawezekana kutetewa na hawa wenyeviti wa mitaa? Nina mashaka.
Moja ni bendela ya halmashauri ya wilaya ya Muleba mkoani Kagera.
Ya pili ni bendela ya sisi m. imekutwa kwa mwenyekiti wake wa tawi moja huko Bukoba. Kama bendela haziwezi kubadishwa na kuwekwa nzuri je maendeleo yanawezekana kutetewa na hawa wenyeviti wa mitaa? Nina mashaka.