CCM nia ya kurekebisha katiba tunayo. Tunawaonea upinzani huruma

Boeing

Senior Member
Apr 16, 2017
151
421
Kwa majibu ya Ndugai kwamba upinzani wanavyopiga kelele ili katiba ifanyiwe marekebisho kuruhusu maraisi wastaafu kushtakiwa wanapaswa kukumbuka kuwa wana maraisi wastaafu wawili, tafsiri yake ni kwamba Serikali (CCM) ina nia ya kufanya hivyo ila wanahofia mawaziri hawa wakuu wastaafu nao watashtakiwa. Najiuliza maswali haya

1. Hivi inaingia akilini kweli kwamba serikali inahofia hawa watu???

2. Wao ni nani hadi muwaogope?mbona ccm mnajiaibisha hivyo??
3. Mnavyopiga kelele kila uchwao kwamba kuna mafisadi wako upinzani,mkiwa kama chama dola wenye serikali na majeshi, mbali zaidi mna mahakama ya mafisadi kweli mmeshindwa kuchukua hatua? mbona mnaogopa kuwakamata?? usafi na uzalendo uko wapi kama sio unafiki?

LETS BE SERIOUS BWANA,TUSIDANGANYANE KAMA WATOTO. KAMA LOWASA,SUMAYE NK WALIIBA KAMATA,SHTAKI FUNGA. TUDIAMBIZANE SIJUI HAKUNA MPINZANI ATAPONA WALA NINI

kufanya hivyo kunaonyesha kwamba mnajua maovu mengi ya baadhi ya watu na mnawaficha. chama kinachoficha na kulea uovu hakifai
 
Ndio maana jela zimejaa walala hoi kwasababu bunge linatunga sheria zenye macho
 
Kwa majibu ya Ndugai kwamba upinzani wanavyopiga kelele ili katiba ifanyiwe marekebisho kuruhusu maraisi wastaafu kushtakiwa wanapaswa kukumbuka kuwa wana maraisi wastaafu wawili, tafsiri yake ni kwamba Serikali (CCM) ina nia ya kufanya hivyo ila wanahofia mawaziri hawa wakuu wastaafu nao watashtakiwa. Najiuliza maswali haya

1. Hivi inaingia akilini kweli kwamba serikali inahofia hawa watu???

2. Wao ni nani hadi muwaogope?mbona ccm mnajiaibisha hivyo??
3. Mnavyopiga kelele kila uchwao kwamba kuna mafisadi wako upinzani,mkiwa kama chama dola wenye serikali na majeshi, mbali zaidi mna mahakama ya mafisadi kweli mmeshindwa kuchukua hatua? mbona mnaogopa kuwakamata?? usafi na uzalendo uko wapi kama sio unafiki?

LETS BE SERIOUS BWANA,TUSIDANGANYANE KAMA WATOTO. KAMA LOWASA,SUMAYE NK WALIIBA KAMATA,SHTAKI FUNGA. TUDIAMBIZANE SIJUI HAKUNA MPINZANI ATAPONA WALA NINI

kufanya hivyo kunaonyesha kwamba mnajua maovu mengi ya baadhi ya watu na mnawaficha. chama kinachoficha na kulea uovu hakifai
100% safi-kila alie husika mkondo wa sheria ufuatwe. Mawaziri wakuu na Maraisi wao nao wajibu. Sera, sheria na mikataba mikubwa sidhani kama hawaijui-wawajibike. Hapa ndipo Ndugai anapotufanya mafala.
 
Ndugai bado hajapona île laana ya kumpiga mgombea mwenzake fimbo ya kichwa mpk akazimia. Itamtafuna hii laana.
 
Hivi kama mtu alifanya kosa la kiutendaji kabla hajawa rais lakini baadaye akawa rais. Je akistaafu lile kosa alilolifanya wakati hajawa rais hawezi kushitakiwa kwakuwa ni rais mtaafu???!!!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom