SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Nakubaliana na wewe, inavyoonekana kwenye mchakato wa kuiua TAA na kuunda TANU na kuia TANU kuunda CCM kulikuwa na nia ovu ya kuwany ang'anya wenye chama halisi na Kaia pa wasiojulikanna. Chama sasa hivi kimegeuka nyangumi kuvusha makundi ya watu fulani kwenda Ikulu kwa maslahi yao. Kwa mbaaaali at the end of the tunnel kwakutumia kiona mbali unaweza kuiona mikono ya dini fulani na nchi kubwa za kizungu kwenye umiliki wa sasa. Atakaempanda na kuvushwa salama na nyangumi huyo lazima ajibu swali LA "utaifanyia nini dini hiyo na nchi hizo" kama utababaika kwenye kulijibu swali hilo ama humpandi nyangumi huyo kabisa au ukifanikiwa kumpanda na kufika utapata misukosuko mingi.Ccm haina mwenyewe ila baadhi yetu kwa ulimbukeni wa madaraka hufikiria tunaimiliki.
Nape sio mwenyewe, ni mnufaika tu. Angekuwa sehemu ya wenyewe asingetolewa bastola hadharani auawe. Wenye ccm wanaweza kumshughulia yeyote yule mwenye mdomomdomo na kuzuia maslahi yao bila kujali alishawahi kuwa nani na ni nani kwenye nchi hii. Hata Mwenyekiti wa chama lazima asitofautiane nao kwenye maslahi yao. Jamani hili ni zimwi linalotafuna kila MTU na kila kitu. No one is safe hata wanaojiita wanaCCM kindakindaki. Mwenye remote control ya dubwasha hili hayuko Tanzania na sio mtanzania pengine.Kama Mwalimu Nyerere mwanzilishi wa CCM alisema CCM si mali yake wala haijamzaa Nape ni nani anayedai CCM inawenyewe? Nape ahamini kwenye Taasisi inaonekana anawatu pale anawategemea.
Waafrika wooote lazima tukubaliane kuwa wakoloni hawakuondoka Africa kwa kupenda, lakini hawakuondoka kiboyaboya pia. Walijipanga kuondoka na walifanya maandalizi ya kuondoka. Kuwasomesha akina Mwl Nyerere huko ulaya ilikuwa sehemu ya maandalizi hayo.Kama Mwalimu Nyerere mwanzilishi wa CCM alisema CCM si mali yake wala haijamzaa Nape ni nani anayedai CCM inawenyewe? Nape ahamini kwenye Taasisi inaonekana anawatu pale anawategemea.
CCM ina wenyeweWanakijani majibu tafadhali🤔.
Ukisoma gazeti la Mwananchi la leo tarehe 23/12/2021, ukurasa wa tatu, kuna baadhi ya WENYE CCM wameorodheshwa. Ni untouchables. Ukitaka kuwajua zaidi, wametajwa kwenye ripoti aliyoandaa Bashiru miaka ile juu ya mali za CCM, jiulize kwa nini JPM na ubabe wake wote hakusoma hadharani ile ripoti.Kuna msemo unasema CCM ina wenyewe, hao wenyewe ni akina nani?
Kila kikundi/chama kina waanzilishi wake ambao ndio huwa Na sauti Na heshima kubwa mbele au nyuma ya pazia. Sauti Na heshima hizo huwa zinarithishwa kwenye kizazi cha waanzilishi hao. Chadema, NCCR, ACT, Chauma, NRA, TLP, nk vinafahamika waanzilishi wake Na wanayo sauti Na heshima kubwa kwenye taasisi hizo. Waanzilishi wa TAA iliyozaa TANU iliyozaa CCM na CCM yenyewe ni akina nani? wapo? watoto na wajukuu wao wapo? Wana sauti na heshima kwenye CCM?
Nilidhani kuwa CCM ni mali ya Mwl Nyerere, Kawawa, Kingunge, nk lakini siioni familia za Mwl Nyerere, kingunge, Kawawa, Rupia au nani wakiwa nyuma au mbele kwenye CCM.
Nyerere alisemaga kuwa CCM sio baba wala mama yake, angeweza kuachana nacho akimaanisha kuwa CCM INA wenyewe ambao sio yeye, kingunge aliikimbia CCM, na akina Mzee Makamba, Kinana, Nape, Polepole, Bashiru, malecela, Kolimba, na wengine wengi ambaao walionekana kuwa labda ndiyo baadhi ya wenye CCM nao kuna wakati walikutana na alichokutana nacho mtema kuni ndani ya CCM kuonyesha kuwa wenye ccm, wenye TANU na ASP na wenye TAA wapo lakini wamefichwa kwa makusudi au bahati mbaya kusikojulikana pamoja na familia zao.
Wenye CCM hawaonekani, hawana sauti wala heshima tena ndani ya ccm. CCM imekuwa dude lisilokuwa na mwenyewe linalotumika tu kuingiza watu Ikulu baaasi, likishafika Ikulu linageuka kuwa mmiliki wa CCM kwa 100% na kuwa tishio hata kwa waliokuwa wakidhani kuwa ni wenye CCM kindakindaki. Kundi litamnyoa bila maji yeyote mwenye mawazo mbadala na maslahi yao.
Linaweza kubadilisha chochote kwenye katiba ya CCM na ile ya nchi. Wengine woote kula yenu itategemea utashi na huruma zao hasa kwa vile litawahitaji baadhi yenu wakati wa chchaguzi tena.
Wanaweza kubadilisha katiba na sheria kuruhusu masilahi yao yashamiri na ikiwezekana wabaki madarakani milele. Utawqsikia kwa kupitia wanufaika wakisema "utake usitake tutakuongezea muda"
Wenye TAA, TANU na baadsae CCM na ASP wako wapi? Wanapata nini?
Wale waliotumia akili, nguvu na rasilimali zao kuanzisha TAA na Afro-Shiraz zilizokuja kuzaa TANU na CCM wako wapi? watoto na wajukuu wao wamefichwa wapi? Kuna kila dalili kuwa kulikuwa na mpango mahususi ulioratibiwa na watu makin wa ndani na nje kuwapora TAA na Afro-Shiraz waazilishi wake. Kwenye hili waliopata hasara kubwa zaidi ni waanzilishi wa TAA kuliko wenzao wenzao wa Afro-Shiraz.Ccm haina mwenyewe ila baadhi yetu kwa ulimbukeni wa madaraka hufikiria tunaimiliki.
Mawazo mgando haya.Nape anadhani CCM ni mali ya shemeji yake wa Msoga, ndio maana anasikia raha sana siku hizi.
Kuna msemo unasema CCM ina wenyewe, hao wenyewe ni akina nani?
Kila kikundi/chama kina waanzilishi wake ambao ndio huwa Na sauti Na heshima kubwa mbele au nyuma ya pazia. Sauti Na heshima hizo huwa zinarithishwa kwenye kizazi cha waanzilishi hao. Chadema, NCCR, ACT, Chauma, NRA, TLP, nk vinafahamika waanzilishi wake Na wanayo sauti Na heshima kubwa kwenye taasisi hizo. Waanzilishi wa TAA iliyozaa TANU iliyozaa CCM na CCM yenyewe ni akina nani? wapo? watoto na wajukuu wao wapo? Wana sauti na heshima kwenye CCM?
Nilidhani kuwa CCM ni mali ya Mwl Nyerere, Kawawa, Kingunge, nk lakini siioni familia za Mwl Nyerere, kingunge, Kawawa, Rupia au nani wakiwa nyuma au mbele kwenye CCM.
Nyerere alisemaga kuwa CCM sio baba wala mama yake, angeweza kuachana nacho akimaanisha kuwa CCM INA wenyewe ambao sio yeye, kingunge aliikimbia CCM, na akina Mzee Makamba, Kinana, Nape, Polepole, Bashiru, malecela, Kolimba, na wengine wengi ambaao walionekana kuwa labda ndiyo baadhi ya wenye CCM nao kuna wakati walikutana na alichokutana nacho mtema kuni ndani ya CCM kuonyesha kuwa wenye ccm, wenye TANU na ASP na wenye TAA wapo lakini wamefichwa kwa makusudi au bahati mbaya kusikojulikana pamoja na familia zao.
Wenye CCM hawaonekani, hawana sauti wala heshima tena ndani ya ccm. CCM imekuwa dude lisilokuwa na mwenyewe linalotumika tu kuingiza watu Ikulu baaasi, likishafika Ikulu linageuka kuwa mmiliki wa CCM kwa 100% na kuwa tishio hata kwa waliokuwa wakidhani kuwa ni wenye CCM kindakindaki. Kundi litamnyoa bila maji yeyote mwenye mawazo mbadala na maslahi yao.
Linaweza kubadilisha chochote kwenye katiba ya CCM na ile ya nchi. Wengine woote kula yenu itategemea utashi na huruma zao hasa kwa vile litawahitaji baadhi yenu wakati wa chchaguzi tena.
Wanaweza kubadilisha katiba na sheria kuruhusu masilahi yao yashamiri na ikiwezekana wabaki madarakani milele. Utawqsikia kwa kupitia wanufaika wakisema "utake usitake tutakuongezea muda"
Wenye TAA, TANU na baadsae CCM na ASP wako wapi? Wanapata nini?
CCM ni 3+3+13 inaleta 19 sawa sawa na 1 (mmiliki wake alishakufa hivyo laana ya kukiita ni chama cha mapinduzi karma inawaangamiza kila mwenye kupata mwanya wa kumpindua mwingine na kumiliki kwa muda anafanya hivyo akizubaa anapinduliwa kinaenda kwenye mikono mingine ispokuwa tu uwe ni mbobezi wa fitina, majungu, unafiki, uongo, uzushi, mshirika wa uovu utafanikiwa siku moja kupindua na kumiliki kwa muda wakati wanaokutazama nao wanapanga njama za kukupindua kupia madhaifu yako.Kuna msemo unasema CCM ina wenyewe, hao wenyewe ni akina nani?
Kila kikundi/chama kina waanzilishi wake ambao ndio huwa Na sauti Na heshima kubwa mbele au nyuma ya pazia. Sauti Na heshima hizo huwa zinarithishwa kwenye kizazi cha waanzilishi hao. Chadema, NCCR, ACT, Chauma, NRA, TLP, nk vinafahamika waanzilishi wake Na wanayo sauti Na heshima kubwa kwenye taasisi hizo. Waanzilishi wa TAA iliyozaa TANU iliyozaa CCM na CCM yenyewe ni akina nani? wapo? watoto na wajukuu wao wapo? Wana sauti na heshima kwenye CCM?
Nilidhani kuwa CCM ni mali ya Mwl Nyerere, Kawawa, Kingunge, nk lakini siioni familia za Mwl Nyerere, kingunge, Kawawa, Rupia au nani wakiwa nyuma au mbele kwenye CCM.
Nyerere alisemaga kuwa CCM sio baba wala mama yake, angeweza kuachana nacho akimaanisha kuwa CCM INA wenyewe ambao sio yeye, kingunge aliikimbia CCM, na akina Mzee Makamba, Kinana, Nape, Polepole, Bashiru, malecela, Kolimba, na wengine wengi ambaao walionekana kuwa labda ndiyo baadhi ya wenye CCM nao kuna wakati walikutana na alichokutana nacho mtema kuni ndani ya CCM kuonyesha kuwa wenye ccm, wenye TANU na ASP na wenye TAA wapo lakini wamefichwa kwa makusudi au bahati mbaya kusikojulikana pamoja na familia zao.
Wenye CCM hawaonekani, hawana sauti wala heshima tena ndani ya ccm. CCM imekuwa dude lisilokuwa na mwenyewe linalotumika tu kuingiza watu Ikulu baaasi, likishafika Ikulu linageuka kuwa mmiliki wa CCM kwa 100% na kuwa tishio hata kwa waliokuwa wakidhani kuwa ni wenye CCM kindakindaki. Kundi litamnyoa bila maji yeyote mwenye mawazo mbadala na maslahi yao.
Linaweza kubadilisha chochote kwenye katiba ya CCM na ile ya nchi. Wengine woote kula yenu itategemea utashi na huruma zao hasa kwa vile litawahitaji baadhi yenu wakati wa chchaguzi tena.
Wanaweza kubadilisha katiba na sheria kuruhusu masilahi yao yashamiri na ikiwezekana wabaki madarakani milele. Utawqsikia kwa kupitia wanufaika wakisema "utake usitake tutakuongezea muda"
Wenye TAA, TANU na baadsae CCM na ASP wako wapi? Wanapata nini?