Uchaguzi 2020 CCM ni chama makini. Kinapofanya makosa hujitathimini na kujirekebisha na hii ndio sababu ya kupata ushindi mnono

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
8,708
5,711
Iwe ni mtu au taasisi makini lazima inapofanya makosa ijitathimini na kujua ilikosea wapi ili iweze kujirekebisha na kutofanya makosa tena.

Ccm kama chama makini kilifanya tathimini na kutambua kuwa kura za maoni huwa ni chanzo cha kushindwa na wapinzani ndio maana safari hii walikuwa makini hasa kutumia intelijensia ya Ccm kubaini nani anafaa kuwa mgombea anayekubalika kwa wananchi.

Mfano ni jimbo la Bunda walipobaini walifanya makosa 2015 kumkata mgombea anayekubalika kwa wananchi,safari hii walimpitisha na amepita kiulaini kama anashushia fundo la bia ya baridiii.

Kosa lingine ambalo walijua liwagharimu nyakati za uchaguzi ni kutengeneza makundi baada ya kura za maoni. Safari hii Ccm ilihakikisha makundi yanavunjwa baada ya kura za maoni na hii imesababisha kuwa na umoja ambao umeleta ushindi mnono.

Mfano mwaka 2010 uchaguzi ulipofanyika Ccm walimkata mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini, Komredi Mwakalebela na hapo Petro Msigwa akashinda. Mwakalebela alikuwa anakubalika na wanaCcm ambao walichukia na kukipa kura chama cha mr Mbowe.Safari hii wamejirekebisha na jimbo limerudi Ccm.

Hivyo vyama kama Chadema na wapinzani watambue kuwa siasa ni sayansi. Na pale mnapofanya makosa mnatakiwa mjitathimini na kurekebisha makosa. Makosa ya 2015 na 2020 ni yale yale na yamekigharimu makubwa Chadema na hii ni sababu Chadema hawana wasomi na watu wenye hekima wamejaza mabaunsa na wahuni tu.
 
Msisahau tathimini ya ushindi wa kishindo kwa mitambo maalumu ya Bashiru&Coy kwa umoja na ustawi wa Taifa letu.
 
Labda sayansi ya kuingia na mabegi ya kura kwenye vituo vya kupigia kura.
Yaani mtu anaingia na mabegi mawakala wa vyama vyote wapo?
Mnazidi kuaibika huku mitaani watu wanatubu kwa Kile walichokifanya katika kuiba Kura kwa kawaida mwanadamu huwa hawezi kuishi na ubaya kwenye nafsi yake
Chadema kama kingepaga wabunge 70 na ruzuku mil 360 mngesema hakuna wizi wakura
 
MACHANGU WAMEINGIA KWENYE SIASA HAKIKA TUTAENDELEA KUONA MENGI.

Kwa miaka zaidi ya 60 CCM imetawala nchi, imeshindwa kupambana na.
UMASIKINI.
UJINGA.
MARADHI.

IMEKUWA NI CCM YA KIDIKTETA KUUA KUTEKA NA KUBAMBIKIA KESI WAPINZANI.
NA KUUA WANAFUNZI AKINA AKWILINA.

machangu wamevamia siasa.
 
CCM siyo chama cha siasa, Ni kukundi cha watu wachache waliamua kuacha kutumia akili zao, na kukubali kupelekeshwa na mtu mmoja ili kushibisha matumbo yao. Kila kitu kimeamliwa na mtu mmoja. Hata wewe unajua
 
Iwe ni mtu au taasisi makini lazima inapofanya makosa ijitathimini na kujua ilikosea wapi ili iweze kujirekebisha na kutofanya makosa tena.

Ccm kama chama makini kilifanya tathimini na kutambua kuwa kura za maoni huwa ni chanzo cha kushindwa na wapinzani ndio maana safari hii walikuwa makini hasa kutumia intelijensia ya Ccm kubaini nani anafaa kuwa mgombea anayekubalika kwa wananchi.

Mfano ni jimbo la Bunda walipobaini walifanya makosa 2015 kumkata mgombea anayekubalika kwa wananchi,safari hii walimpitisha na amepita kiulaini kama anashushia fundo la bia ya baridiii.

Kosa lingine ambalo walijua liwagharimu nyakati za uchaguzi ni kutengeneza makundi baada ya kura za maoni. Safari hii Ccm ilihakikisha makundi yanavunjwa baada ya kura za maoni na hii imesababisha kuwa na umoja ambao umeleta ushindi mnono.

Mfano mwaka 2010 uchaguzi ulipofanyika Ccm walimkata mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini, Komredi Mwakalebela na hapo Petro Msigwa akashinda. Mwakalebela alikuwa anakubalika na wanaCcm ambao walichukia na kukipa kura chama cha mr Mbowe.Safari hii wamejirekebisha na jimbo limerudi Ccm.

Hivyo vyama kama Chadema na wapinzani watambue kuwa siasa ni sayansi. Na pale mnapofanya makosa mnatakiwa mjitathimini na kurekebisha makosa. Makosa ya 2015 na 2020 ni yale yale na yamekigharimu makubwa Chadema na hii ni sababu Chadema hawana wasomi na watu wenye hekima wamejaza mabaunsa na wahuni tu.
Kweli kabisa CCM chama makini sana kimekomaa hasa katika utwala huu wa awamu ya 6

Kimeweza kulifanya Bunge zima la JMT kuwa bunge la viti maalum KIDUMU CHA PETROLI
 
MACHANGU WAMEINGIA KWENYE SIASA HAKIKA TUTAENDELEA KUONA MENGI.

Kwa miaka zaidi ya 60 CCM imetawala nchi, imeshindwa kupambana na.
UMASIKINI.
UJINGA.
MARADHI.

IMEKUWA NI CCM YA KIDIKTETA KUUA KUTEKA NA KUBAMBIKIA KESI WAPINZANI.
NA KUUA WANAFUNZI AKINA AKWILINA.

machangu wamevamia siasa.
Bichwa maji amevamia Jf
 
Sio
Iwe ni mtu au taasisi makini lazima inapofanya makosa ijitathimini na kujua ilikosea wapi ili iweze kujirekebisha na kutofanya makosa tena.

Ccm kama chama makini kilifanya tathimini na kutambua kuwa kura za maoni huwa ni chanzo cha kushindwa na wapinzani ndio maana safari hii walikuwa makini hasa kutumia intelijensia ya Ccm kubaini nani anafaa kuwa mgombea anayekubalika kwa wananchi.

Mfano ni jimbo la Bunda walipobaini walifanya makosa 2015 kumkata mgombea anayekubalika kwa wananchi,safari hii walimpitisha na amepita kiulaini kama anashushia fundo la bia ya baridiii.

Kosa lingine ambalo walijua liwagharimu nyakati za uchaguzi ni kutengeneza makundi baada ya kura za maoni. Safari hii Ccm ilihakikisha makundi yanavunjwa baada ya kura za maoni na hii imesababisha kuwa na umoja ambao umeleta ushindi mnono.

Mfano mwaka 2010 uchaguzi ulipofanyika Ccm walimkata mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini, Komredi Mwakalebela na hapo Petro Msigwa akashinda. Mwakalebela alikuwa anakubalika na wanaCcm ambao walichukia na kukipa kura chama cha mr Mbowe.Safari hii wamejirekebisha na jimbo limerudi Ccm.

Hivyo vyama kama Chadema na wapinzani watambue kuwa siasa ni sayansi. Na pale mnapofanya makosa mnatakiwa mjitathimini na kurekebisha makosa. Makosa ya 2015 na 2020 ni yale yale na yamekigharimu makubwa Chadema na hii ni sababu Chadema hawana wasomi na watu wenye hekima wamejaza mabaunsa na wahuni tu.
Sio kweli ,mbona kwenye ufisadi wameshindwa kujirekebisha🤸🤸🤸
 
Back
Top Bottom