johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,567
- Thread starter
- #21
Hapo kwenye mara 2020 ndio sijakuelewa!Na ndio maana bashiru alisema kama wewe unajijua ushashika ubunge zaidi ya mara 2020 sahau kurudishwa kwenye jimbo lako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye mara 2020 ndio sijakuelewa!Na ndio maana bashiru alisema kama wewe unajijua ushashika ubunge zaidi ya mara 2020 sahau kurudishwa kwenye jimbo lako
Tunakumbushana tu ukubwa wa CCM maana vijana wa siku hizi wengi ni wasahaulifu.
Unapoteuliwa kuwatumikia wananchi basi uwe mzalendo wa kweli na utoe utumishi badala ya kutumia muda mwingi kujipigia promo na kuchafua watu wengine kana kwamba wewe ndio CCM peke yako.
Hebu muangaliwe January......mtoto wa " kuzaliwa" wa Katibu mkuu mstaafu wa CCM ambaye ni luteni mstaafu wa jeshi......kadhalika January amefanya kazi Ikulu kama mwandishi wa hotuba za Rais, amekuwa Naibu waziri, Waziri na mjumbe wa sekretarieti ya CCM akiwa boss wa foreign affairs......Leo hii ameshasahaulika kiasi cha kuhofia hata kugombea ubunge.
Kiukweli CCM ni chama kikubwa sana na kila kitabu kina zama zake hivyo vijana wa digitali msijisahau.
Maendeleo hayana vyama!
Kuna tofauti hapo?!!
Yes!....a lot of them, like Kafulila, Waitara, Mkumbo,.......and so on. All are ccm's products.So? So .... so so contrary to Chadema... there are a lot of potentials sailors to steer the ship...