The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 818
Kama Bado Taasisi Zote Hizi Ziko Nyuma Ya CCM Hazijagawanyika.CCM Haiwezi Kutoka Madarakani.CCM Bado Ni Taasisi Yenye Nguvu Na Ina uwezo Wa Kubadili Matokeo Wakati Wowote Na Kwa Gharama Yeyote.UKAWA Wataambulia Ubunge Lakini Uraisi Wasahau
Umeandika kishabiki ila ni ukweli mtupu. Viongozi wastaafu karibu wote serikalini ni ccm, juzi tu hapa watu walishangaa kuona jaji Augustino Ramadhani kugombea kupitishwa kuwania urais kupitia ccm. Yule kigogo wa takukuru aliyepata ajali na kufariki akiwa njiani kwenda kwenye kampeni ya ubunge kupitia ccm, orodha iko ndefu.