Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,362
- 1,130
Yaani kama chenge hapo alipo anasali na kufunga ili lowasa apite na akipita hii nchi si yetu tena
Hili ni kweli Kabisa.
Mabadiliko ya sasa ndani ya CCM .. kusema kweli wala hayawategemei wanadamu.
Ni more of "evolutionary" ... Lazima Kilichooza sasa kitumike kujenga kipya kwa manufaa ya wakulima na wafanyakazi.
Kitakaachoota na kushamiri kitatoa maua yeneye harufu nzuri sana ... kwa maana ya Utanzania wetu na utaifa wetu katika kuchapa kazi kama wafanyakazi na wakulima.