Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,125
- 4,168
Hili lipo wazi kabisa uongozi wa taifa hili chini ya CcM ni kurithishana na kupeana mapande ya kupiga madili.
Mwaka 2025 ndio wakati muafaka wa kuwaadhibu.
Maana wanarithishana upigaji madili na uongozi kama taifa la kisulutani
Mwaka 2025 ndio wakati muafaka wa kuwaadhibu.
Maana wanarithishana upigaji madili na uongozi kama taifa la kisulutani