Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Miaka ya 1960.
Nyerere Rais.
Mkatoliki.
Maarufu sana.
Wazungu walimkubali.
Wakatoa elimu kwa jamii za Kikristo.
Waislamu wao walikuwa hawataki shule.
Walikuwa wanavua samaki baharini.
Na kucheza ngoma.
Wakristo wakawa wengi kwenye mambo ya utawala wa serikali.
Wakadhani wameula.
Kumbe wameliwa.
Ujinga wa Wakrito:
Wakati wakiendelea kula pepo na ma-VX au tuseme Beetle wakati huo, wenzao wa waislamu wakajazana TANU. Nasema wakajazana kwasababu TANU ya wakati huo NEC na CC zake zilikuwa na waislamu wengi ikilinganishwa na wakristo. Nadhani hata NEC na CC za sasa ziko hivo hivo. waislamu wengi kuliko wakristo. hapo wakristo imekula kwenu. mimi myahudi simo.
Tunaendelea:
Kutokana na wingi wa waislamu kwenye TANU.
Lilipo kuja ishu za kuzaliwa kwa CCM.
Mwaka 1977
Waislamu wakaunda CCM kwa kuunganisha TANU yenye waislamu wengi kuliko wa kristo na ASP yenye waislamu tupu.
Nani aseme CCM si chama cha Waislamu? Nani? Asimame kama kidume tumsikie.
CCM ni cha waislamu. Hata rangi zake za njano na kijani ni rangi za dini ya kiislamu.
Asimame mtu anisute mini yerusalem kwa kusema urongo.
Kama hakuna mtu wa kunisuta, basi mi nadunda kitaa nikiimba:
CCM ni Chama cha Waislamu. Wakristo Walie tu. Au waunde chama chao na mapema!!
CCM ni Chama cha Waislamu. Wakristo Walie tu. Au waunde chama chao na mapema!!
CCM ni Chama cha Waislamu. Wakristo Walie tu. Au waunde chama chao na mapema!!
Nyerere Rais.
Mkatoliki.
Maarufu sana.
Wazungu walimkubali.
Wakatoa elimu kwa jamii za Kikristo.
Waislamu wao walikuwa hawataki shule.
Walikuwa wanavua samaki baharini.
Na kucheza ngoma.
Wakristo wakawa wengi kwenye mambo ya utawala wa serikali.
Wakadhani wameula.
Kumbe wameliwa.
Ujinga wa Wakrito:
Wakati wakiendelea kula pepo na ma-VX au tuseme Beetle wakati huo, wenzao wa waislamu wakajazana TANU. Nasema wakajazana kwasababu TANU ya wakati huo NEC na CC zake zilikuwa na waislamu wengi ikilinganishwa na wakristo. Nadhani hata NEC na CC za sasa ziko hivo hivo. waislamu wengi kuliko wakristo. hapo wakristo imekula kwenu. mimi myahudi simo.
Tunaendelea:
Kutokana na wingi wa waislamu kwenye TANU.
Lilipo kuja ishu za kuzaliwa kwa CCM.
Mwaka 1977
Waislamu wakaunda CCM kwa kuunganisha TANU yenye waislamu wengi kuliko wa kristo na ASP yenye waislamu tupu.
Nani aseme CCM si chama cha Waislamu? Nani? Asimame kama kidume tumsikie.
CCM ni cha waislamu. Hata rangi zake za njano na kijani ni rangi za dini ya kiislamu.
Asimame mtu anisute mini yerusalem kwa kusema urongo.
Kama hakuna mtu wa kunisuta, basi mi nadunda kitaa nikiimba:
CCM ni Chama cha Waislamu. Wakristo Walie tu. Au waunde chama chao na mapema!!
CCM ni Chama cha Waislamu. Wakristo Walie tu. Au waunde chama chao na mapema!!
CCM ni Chama cha Waislamu. Wakristo Walie tu. Au waunde chama chao na mapema!!