CCM ni cha Waislamu: Haya Madai Si Ya Kupuuza

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Miaka ya 1960.

Nyerere Rais.

Mkatoliki.

Maarufu sana.

Wazungu walimkubali.

Wakatoa elimu kwa jamii za Kikristo.

Waislamu wao walikuwa hawataki shule.

Walikuwa wanavua samaki baharini.

Na kucheza ngoma.

Wakristo wakawa wengi kwenye mambo ya utawala wa serikali.

Wakadhani wameula.

Kumbe wameliwa.

Ujinga wa Wakrito:
Wakati wakiendelea kula pepo na ma-VX au tuseme Beetle wakati huo, wenzao wa waislamu wakajazana TANU. Nasema wakajazana kwasababu TANU ya wakati huo NEC na CC zake zilikuwa na waislamu wengi ikilinganishwa na wakristo. Nadhani hata NEC na CC za sasa ziko hivo hivo. waislamu wengi kuliko wakristo. hapo wakristo imekula kwenu. mimi myahudi simo.


Tunaendelea:
Kutokana na wingi wa waislamu kwenye TANU.

Lilipo kuja ishu za kuzaliwa kwa CCM.

Mwaka 1977

Waislamu wakaunda CCM kwa kuunganisha TANU yenye waislamu wengi kuliko wa kristo na ASP yenye waislamu tupu.

Nani aseme CCM si chama cha Waislamu? Nani? Asimame kama kidume tumsikie.

CCM ni cha waislamu. Hata rangi zake za njano na kijani ni rangi za dini ya kiislamu.

Asimame mtu anisute mini yerusalem kwa kusema urongo.

Kama hakuna mtu wa kunisuta, basi mi nadunda kitaa nikiimba:

CCM ni Chama cha Waislamu. Wakristo Walie tu. Au waunde chama chao na mapema!!


CCM ni Chama cha Waislamu. Wakristo Walie tu. Au waunde chama chao na mapema!!


CCM ni Chama cha Waislamu. Wakristo Walie tu. Au waunde chama chao na mapema!!
 
Miaka ya 1960.

Nyerere Rais.

Mkatoliki.

Maarufu sana.

Wazungu walimkubali.

Wakatoa elimu kwa jamii za Kikristo.

Waislamu wao walikuwa hawataki shule.

Walikuwa wanavua samaki baharini.

Na kucheza ngoma.

Wakristo wakawa wengi kwenye mambo ya utawala wa serikali.

Wakadhani wameula.

Kumbe wameliwa.

Ujinga wa Wakrito:
Wakati wakiendelea kula pepo na ma-VX au tuseme Beetle wakati huo, wenzao wa waislamu wakajazana TANU. Nasema wakajazana kwasababu TANU ya wakati huo NEC na CC zake zilikuwa na waislamu wengi ikilinganishwa na wakristo. Nadhani hata NEC na CC za sasa ziko hivo hivo. waislamu wengi kuliko wakristo. hapo wakristo imekula kwenu. mimi myahudi simo.


Tunaendelea:
Kutokana na wingi wa waislamu kwenye TANU.

Lilipo kuja ishu za kuzaliwa kwa CCM.

Mwaka 1977

Waislamu wakaunda CCM kwa kuunganisha TANU yenye waislamu wengi kuliko wa kristo na ASP yenye waislamu tupu.

Nani aseme CCM si chama cha Waislamu? Nani? Asimame kama kidume tumsikie.

CCM ni cha waislamu. Hata rangi zake za njano na kijani ni rangi za dini ya kiislamu.

Asimame mtu anisute mini yerusalem kwa kusema urongo.

Kama hakuna mtu wa kunisuta, basi mi nadunda kitaa nikiimba:

CCM ni Chama cha Waislamu. Wakristo Walie tu. Au waunde chama chao na mapema!!


CCM ni Chama cha Waislamu. Wakristo Walie tu. Au waunde chama chao na mapema!!


CCM ni Chama cha Waislamu. Wakristo Walie tu. Au waunde chama chao na mapema!!

Umekosa cha kuandika??
 
Umekosa cha kuandika??

najua wakrsto watazalau.

kwasababu mkwristo akijenga nyumnba. akapata kzai nzuri anajua kazi imekwisha.
utamsikia mkristo naaye anakemea udini kinafiki. ati 'amani na utulivu'. kinafikii. kulinda mlo wake. wakriato wanaamini sana mlo kuliko kuongoza nji.

lazkini tunako kwenda kubaya.

ukisikia waziri wa ulinzi na waziri wa polisi ni wazanzibari ujue nji inakwenda kubaya.

itafika mahali kila cheo cha juu lazima kishikwe na muislamu.

au itafika mahali zanzibar itaitawala bara kama ambavo isreil inatawala Waarabu wote.

amkeni wakristo
 
Hivi Jerusalem na MS(Jeykey wa ukweli) ni watani wa jadi kama simba na yanga? Hoja zenu huwa zinachafua hali ya hewa hapa barazani.
 
najua wakrsto watazalau.

kwasababu mkwristo akijenga nyumnba. akapata kzai nzuri anajua kazi imekwisha.
utamsikia mkristo naaye anakemea udini kinafiki. ati 'amani na utulivu'. kinafikii. kulinda mlo wake. wakriato wanaamini sana mlo kuliko kuongoza nji.

lazkini tunako kwenda kubaya.

ukisikia waziri wa ulinzi na waziri wa polisi ni wazanzibari ujue nji inakwenda kubaya.

itafika mahali kila cheo cha juu lazima kishikwe na muislamu.

au itafika mahali zanzibar itaitawala bara kama ambavo isreil inatawala Waarabu wote.

amkeni wakristo

Kwani chaderma ni chama cha wakatoliki?
 
Aaaaaaaaaaaaaaaaaachaa dahna za fikra finyu siwakati huu umesha pita,we need to discuss how we gonnna develop,that sooo boooy7.........
 
Kimsingi CCM si ya Waislam na tena bwana Jerusalem uliyeanzisha mada hii nakusihi achana na sera za kidini,wana jamii forums please tujadili mambo ya nchi na siyo hoja na kipuuzi namna hii.
kimsingi huwa sifurahii mtu kuzungumzia masuala ya udini Tanzania, tena huwa nalia na kumkumbuka Mwl. nyerere.
 
Kimsingi CCM si ya Waislam na tena bwana Jerusalem uliyeanzisha mada hii nakusihi achana na sera za kidini,wana jamii forums please tujadili mambo ya nchi na siyo hoja na kipuuzi namna hii.
kimsingi huwa sifurahii mtu kuzungumzia masuala ya udini Tanzania, tena huwa nalia na kumkumbuka Mwl. nyerere.

dini.

wakristo wamejisahau wakujua hali ni shwari lkni wakristo wenye msimamo mkali wanaongoza CCM.
 
Kwani hiyo miaka ya 1960 wakati wa nyerere,waxtu walipoua wakisoma,waislam wakivua samaki,kilikua chama gani? na takwimu gani zinakuonyesha WAISLAM walijazana TANU wakati huo,na takwimu zipi zinakuonyesha CCM waislam wengi kuliko waxtu,kwa sasa baraza la mawaziri la ccm,waxtu ni 80%,wabunge ni 80%,unathubutu vipi kusema wengi ccm ni waislam? Ulisoma Reseach methodology wewe?
 
Nafikiri huyu amekosa cha kuandika, ukilinganisha na wakristo wanaopewa nafasi za uongozi serikalini na waislam nani wengi kuwa makini hacha kuwa kama mapadre na viongozi wa dini wa israel wanafiki wakubwa wanajua kabisa wanachofanya sio sahihi wanasema mungu kasema.

Kichaa sio lazima uokote makopo hapa kuropoka vitu ambavyo havina msingi. leo najisikia kuwasema wote watakaoleta mada za kijinga
 
Ndugu Jerusalem unaposema rangi ya kijani na njano ni rangi za Waislamu una ushahidi wowote hasa wa kimaandishi?
 
huyu mtu aliyeanzisha mada hapo juu nae anataka maendeleo na hao wengine waliochangia nao wanaweza kukaa meza moja na mimi tujadili maendeleo ya nchi hii kweli ? sidhani
 
Miaka ya 1960.

Nyerere Rais.

Mkatoliki.

Maarufu sana.

Wazungu walimkubali.

Wakatoa elimu kwa jamii za Kikristo.

Waislamu wao walikuwa hawataki shule.

Walikuwa wanavua samaki baharini.

Na kucheza ngoma.

Wakristo wakawa wengi kwenye mambo ya utawala wa serikali.

Wakadhani wameula.

Kumbe wameliwa.

Ujinga wa Wakrito:
Wakati wakiendelea kula pepo na ma-VX au tuseme Beetle wakati huo, wenzao wa waislamu wakajazana TANU. Nasema wakajazana kwasababu TANU ya wakati huo NEC na CC zake zilikuwa na waislamu wengi ikilinganishwa na wakristo. Nadhani hata NEC na CC za sasa ziko hivo hivo. waislamu wengi kuliko wakristo. hapo wakristo imekula kwenu. mimi myahudi simo.


Tunaendelea:
Kutokana na wingi wa waislamu kwenye TANU.

Lilipo kuja ishu za kuzaliwa kwa CCM.

Mwaka 1977

Waislamu wakaunda CCM kwa kuunganisha TANU yenye waislamu wengi kuliko wa kristo na ASP yenye waislamu tupu.

Nani aseme CCM si chama cha Waislamu? Nani? Asimame kama kidume tumsikie.

CCM ni cha waislamu. Hata rangi zake za njano na kijani ni rangi za dini ya kiislamu.

Asimame mtu anisute mini yerusalem kwa kusema urongo.

Kama hakuna mtu wa kunisuta, basi mi nadunda kitaa nikiimba:

CCM ni Chama cha Waislamu. Wakristo Walie tu. Au waunde chama chao na mapema!!


CCM ni Chama cha Waislamu. Wakristo Walie tu. Au waunde chama chao na mapema!!


CCM ni Chama cha Waislamu. Wakristo Walie tu. Au waunde chama chao na mapema!!

i have never insulted anyone within JF, but u r forcing me to do so......Yaani uislam una rangi???? tena ya kijani na Njano???? How old r u???
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom