Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Chama hiki kinacho aminika kuwa ndicho chama kikongwe barani Afrika,kilicho acha sera za waasisi wake na kuwa chama Mufilisi huku kikijikita ktk mauaji ya wazalendo ndicho kimekuwa kikwazo kikuu cha vyombo vya habari vya kimataifa kujichimbia hapa tz!
Katika nchi zinazoendele kama tz ni muhimu sana kuwa na uwanda mpana zaidi wa habari hasa za dunia za kwanza,lakini katu kwa tz bado tupo gizani sana, mashirika makubwa kama BBc,cbs,cnn,rt,sbs,al jazeera,sky nk yana nafasi finyu sana kufanya shughuli zao tz! Yapo yanayorusha matangazo yako kw njia ya radio nayo yanafanya kazi ktk vikwazo vingi sana!
Angalia tz ndiye mwenye lugha halisi ya kiswahili lakini mashirika yote yamejimbia nairobi,sisi wa tz tumebaki na umbea wetu tu! Inakera sana!!
Yote haya ni ccm kukwepa kuanikwa kwa maovu yao mbele ya jumuia ya kimataifa!
Swali leo yule mzalendo wa kweli waliye mtimua kwa aibu pale TBC ccm baada ya kuwa mkweli ktk uchaguzi 2010 ndugu Tido Mhando amefanikiwa kutua Al jazeera wataweza kuzima sera ya uwazi ndani ya al jazeera?
Katika nchi zinazoendele kama tz ni muhimu sana kuwa na uwanda mpana zaidi wa habari hasa za dunia za kwanza,lakini katu kwa tz bado tupo gizani sana, mashirika makubwa kama BBc,cbs,cnn,rt,sbs,al jazeera,sky nk yana nafasi finyu sana kufanya shughuli zao tz! Yapo yanayorusha matangazo yako kw njia ya radio nayo yanafanya kazi ktk vikwazo vingi sana!
Angalia tz ndiye mwenye lugha halisi ya kiswahili lakini mashirika yote yamejimbia nairobi,sisi wa tz tumebaki na umbea wetu tu! Inakera sana!!
Yote haya ni ccm kukwepa kuanikwa kwa maovu yao mbele ya jumuia ya kimataifa!
Swali leo yule mzalendo wa kweli waliye mtimua kwa aibu pale TBC ccm baada ya kuwa mkweli ktk uchaguzi 2010 ndugu Tido Mhando amefanikiwa kutua Al jazeera wataweza kuzima sera ya uwazi ndani ya al jazeera?