Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,175
- 25,446
UKAWA hawaonyeshi utayari hata kidogo kushiriki kwenye Mdahalo unaoandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT). Nyinyi CCM mmeshafanya kikao kirefu na waandaaji kupanga mdahalo utakavyokuwa. Yawezekana mmeshapewa hata maswali na majibu.
Kwa kufanya kikao hicho na waandaaji wa mdahalo,mmevujishiwa mtihani na hivyo mdahalo husika ni feki na hauaminiki. UKAWA wasithubutu kushiriki kwakuwa kuna mambo yameshapangwa. Kama miaka yote CCM hawakutaka midahalo,iweje waitake kwa udi na uvumba mwaka huu? CCM nendeni mkamalizie maigizo yenu.
Kwa kufanya kikao hicho na waandaaji wa mdahalo,mmevujishiwa mtihani na hivyo mdahalo husika ni feki na hauaminiki. UKAWA wasithubutu kushiriki kwakuwa kuna mambo yameshapangwa. Kama miaka yote CCM hawakutaka midahalo,iweje waitake kwa udi na uvumba mwaka huu? CCM nendeni mkamalizie maigizo yenu.