Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
nakubaliana na wewe kwenye mambo kadhaa.chadema wamefanya mambo mengi mema kadhaa kwenye taifa hili na yenye maslahi kwa umma.nawapa hongera na kuwaombea mungu kwa hili.na kuna baadhi ya viongozi wa chadema ambao nawaheshimu sana kwa jinsi walivyo na fikta pevu akiwemo zitto.ninichowalaumu chadema ni pale wanapoipinga serikali kwa kila kitu na kubeza mengine yote yanayofanywa nje ya chadema.swali lako ni zuri ila lipo flawed.... Pengine niupe mifano kidogo ndipo unaweza ona jinsi ulivyo flawed.wana ccm hawa wanalalamika sana cdm wanapochelewa pigia kelele ufisadi fulani.ktk vitu cdm wamekuwa wakifichua na kupigia kelele ni vya watanzania wote.
Kuna mfano mwingine:nguruwe anatumika ktk kunusa madawa na chemikali nyingine hatari za milipuko.kwa haraka utaon akuwa nguruwe si mnyama mwenye support ya waislam.ila anachokizua kina faida hadi kwao.
Pengine nikupe funzo, effect za cdm na changamoto wanayowapa ccm ina manufaa kwa watanzania wote, pengine cha kujiuliza ni kwanini watanzania wapo tayari kutumia benefit za uwepo wa cdm ila hawana mchango positive zaidi ya kuji behave in a way wanakishambulia chama.