CCM ndani ya mgwanda?

CAMARADERIE

JF-Expert Member
Mar 3, 2011
4,419
1,920
kutembelea9kulia+%2528kitenge%2529anna+Makinda%252C+9kusho%2529+mchechu+na+waziri+tibaijuka.JPG
 
Ukiona wametinga za cdm ujue wanaenda kukutana na vijana kwani bila hivyo hawatasikilizwa
 
Tusubire tuone mpaka 2015 mambo yatakuwaje,inawezekana wanajipanga ili CDM wawapokee hapo 2015!
KAZI IPO!
 
Wakuu, hizi NGUO ZA "MGAMBO" zilikuwa miaka kenda kabla ya hata CDM. Unakumbuka ile "lakuvunda halina ubani" pale UDSM miaka ya 80?
 
kama walivyozoea kudandia hoja za wenzao n a kudai wao ndo waanzilishi na sasa wanadandia gwanda za wenzao halafu mwisho wa siku watasema wao ndo waanzilishi toka enzi hizoo...
 
kuna taarifa zilidai kuwa wanampango wa kubadili jina la chama au haya ndiyo maandalizi yake
 
Back
Top Bottom