Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Hakuna kitu ninchokichukia kama ccm na serikali yake.watetezi wakubwa wa mafisadi,wezi,wabakaji,majangili,mauza unga nk.Eti saiz yamekuwa matetezi ya zitto,manafiki na mash.nzi makubwa.Zitto aliambiwa kuwa ccm watakutetea? Hata aibu hayaoni?
Tunaomba mtuambie vifo vya watu hawa vimesababishwa ba nini.
1.Daud Balali
2.Dr.Mvungi
3. Kolimba
4. Amina chifupa
5.Daudi mwangosi nk
pia yaliyowakuta watu hawa,akina nani wahusika wakuu
1.Dr.ulimboka
2.Dr.mwakyembe
3.kibanda
4.wahusika wakuu wa bomu Arusha nk
vile vile waasisi wakuu wa udini,ukabila nk.Ccm acheni ujinga na upumbavu hii nchi siyo ya kwenu,ni ya watz.Kutufanya wananchi kama watumwa wenu tumechoka.Tumieni tu dola kama silaha ya kuwalinda madarakani lakini ipo siku tutashika mapanga,shoka,mawe,majembe mafyekeo kukabiliana na utawala wa kibabe,kidhalimu,kinafiki na kikoloni.
Suala la zzk mmelivaliwa viatu kama linawahusu,kwa nini mnamtetea sana huyo mnafiki,msaliti mwenzenu? Kama ni ukanda,mbona hamsemi kuvuliwa uongozi kwa mwigamba na kitila? Kama ni udini kitila na mwigamba ni dini gani? Na kama ni ukabila mwigamba na kitila ni kabila gani? Na kama mnabeza uamuzi wa kamati kuu,mnataka maamuzi yatoke kwenu ninyi mafisadi au wabakaji?
Siwapendi na ninawachukia sana bora kufa leo hii kuliko kuendlea kutwaliwa na wezi,majangili,mafisadi,wauza unga nk
Tunaomba mtuambie vifo vya watu hawa vimesababishwa ba nini.
1.Daud Balali
2.Dr.Mvungi
3. Kolimba
4. Amina chifupa
5.Daudi mwangosi nk
pia yaliyowakuta watu hawa,akina nani wahusika wakuu
1.Dr.ulimboka
2.Dr.mwakyembe
3.kibanda
4.wahusika wakuu wa bomu Arusha nk
vile vile waasisi wakuu wa udini,ukabila nk.Ccm acheni ujinga na upumbavu hii nchi siyo ya kwenu,ni ya watz.Kutufanya wananchi kama watumwa wenu tumechoka.Tumieni tu dola kama silaha ya kuwalinda madarakani lakini ipo siku tutashika mapanga,shoka,mawe,majembe mafyekeo kukabiliana na utawala wa kibabe,kidhalimu,kinafiki na kikoloni.
Suala la zzk mmelivaliwa viatu kama linawahusu,kwa nini mnamtetea sana huyo mnafiki,msaliti mwenzenu? Kama ni ukanda,mbona hamsemi kuvuliwa uongozi kwa mwigamba na kitila? Kama ni udini kitila na mwigamba ni dini gani? Na kama ni ukabila mwigamba na kitila ni kabila gani? Na kama mnabeza uamuzi wa kamati kuu,mnataka maamuzi yatoke kwenu ninyi mafisadi au wabakaji?
Siwapendi na ninawachukia sana bora kufa leo hii kuliko kuendlea kutwaliwa na wezi,majangili,mafisadi,wauza unga nk