Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,881
- 1,124
Nikitazama mikutano inayoendelea sasa ya CHADEMA na CCM kujibu mapigo napata picha moja,mikutano ya chadema inapata wingi wa vijana wa umri wa kati wakati CCM ni kina mama kuanzia miaka 30 kuendelea.
Rejea okoa mikoa ya kusini na mkutano mkubwa wa CHADEMA Jagwani na mikutano ya nape na mkutano mkubwa wa ccm jangwani.
sitajadili watu wanakujaje kwenye mikutano ila nitajadili muitikio wao kimakundi.
wakati CHADEMA wakihudhuria vijana wa rika zote na umri wa kati mpaka miaka 50 kwa upande wa ccm wanaonekana kina mama wengi kuanzia ka 28 hivi mpaka vikongwe je hapa hakuna kundi linalodanganywa?
Je, chadema inadanganya vijana? au CCM inajua kina mama wana huruma hivyo kutumia mwanya huo kuwadanganya ili kupata kuungwa mkono?
Je, wazee wataungana na wake na binti zao au watawaunga mkono vijana wao?
je mabint wa umri wa miaka 15 hadi 28 wataungana na mama na dada zao au wataungana na kaka zao?
Rejea okoa mikoa ya kusini na mkutano mkubwa wa CHADEMA Jagwani na mikutano ya nape na mkutano mkubwa wa ccm jangwani.
sitajadili watu wanakujaje kwenye mikutano ila nitajadili muitikio wao kimakundi.
wakati CHADEMA wakihudhuria vijana wa rika zote na umri wa kati mpaka miaka 50 kwa upande wa ccm wanaonekana kina mama wengi kuanzia ka 28 hivi mpaka vikongwe je hapa hakuna kundi linalodanganywa?
Je, chadema inadanganya vijana? au CCM inajua kina mama wana huruma hivyo kutumia mwanya huo kuwadanganya ili kupata kuungwa mkono?
Je, wazee wataungana na wake na binti zao au watawaunga mkono vijana wao?
je mabint wa umri wa miaka 15 hadi 28 wataungana na mama na dada zao au wataungana na kaka zao?