Mwaka 2010 ccm iliahidi maisha bora kwa kila Mtanzania,matokeo yake ni ukwapuaji na ulindaji wa kundi na genge la mafisadi!
Mwaka 2013 wakaahidi kuwaletea wananchi katiba bora,cha ajabu kundi hili la wagombea ccm lilikuwa la kwanza kutowasikiliza waajiri wao( wananchi)
Lro wanakuja na kutoa maamuzi magumu yaliyoshindikana kipindi cha miaka 15 tu juu ya maji Elimu,Afya nk
Wataondoa tatizo la ajira wameliona leo kwani ndio wamefika nchini,
Watapambana na rushwa ni hawahawa wakiwa wajumbe wa baraza la Mawaziri,wametunga sheria ya kupinga Uhuru wa vyombo vya habari,wameikaba TISS na kukosa meno,TAKUKURU ndoo usiseme!
Tuanze na haya,hawakuyajua?, yameibuka leo?
Jinsi ipi leo ahadi maneno kibao ya wanaccm yabaweza kuwaondoa katika uonevu,dharau na utendaji usiozingatia haki,usawa na uhuru wa kutoa maoni watakuwa wameuaga?
Mwaka 2013 wakaahidi kuwaletea wananchi katiba bora,cha ajabu kundi hili la wagombea ccm lilikuwa la kwanza kutowasikiliza waajiri wao( wananchi)
Lro wanakuja na kutoa maamuzi magumu yaliyoshindikana kipindi cha miaka 15 tu juu ya maji Elimu,Afya nk
Wataondoa tatizo la ajira wameliona leo kwani ndio wamefika nchini,
Watapambana na rushwa ni hawahawa wakiwa wajumbe wa baraza la Mawaziri,wametunga sheria ya kupinga Uhuru wa vyombo vya habari,wameikaba TISS na kukosa meno,TAKUKURU ndoo usiseme!
Tuanze na haya,hawakuyajua?, yameibuka leo?
Jinsi ipi leo ahadi maneno kibao ya wanaccm yabaweza kuwaondoa katika uonevu,dharau na utendaji usiozingatia haki,usawa na uhuru wa kutoa maoni watakuwa wameuaga?