mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
Nape mdudu gani, hajui hata mali za nchi wanazo ccm? muda tu unakuja ccm haina kitu, watanyang'anywa
Wakati wa chama kimoja sote tulipaswa kudai mali ya TANU NA CCM kabla ya MFUMO HUU WA VYAMA VINGI,
Mali za nchii hii mgawanyo hauja kaa vizuri. mwalimu alilisahau hili! ametuachia mgogoro.
wanasheria mnaficha nini.
Wakati wa chama kimoja sote tulipaswa kudai mali ya TANU NA CCM kabla ya MFUMO HUU WA VYAMA VINGI,
Mali za nchii hii mgawanyo hauja kaa vizuri. mwalimu alilisahau hili! ametuachia mgogoro.
wanasheria mnaficha nini.