Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,188
- 8,215
Kama tunavyofahmu asilimia 80 ya viwanja vinavyotumuka kwa ligi kuu Tanzania VPL ni mali ya CCM baada ya kuvibinafsisha toka kwa umma mara baada ya mfumo wa vyama vingi kuingia nchini.
SINA TATIZO HILO
TUachane na vyoo au segemu za majukwaa tuko tayari kusimama lakini hivi ni kweli CCM mmeshindwa kuajiri angalau watu wawili wa kumwagilia uwanja ili uwe kwenye mazingira bora?
Mimi ninavyofahamu jinsi kazi zilivyo ngumu hata mshahara wa laki moja kwa mtu mmoja ungetosha kuwalipa wamwagiliaji au mapato ya kila mwisho wa wiki hayatoshi?
Nanyi vilabu pia mmeshindwa kufikiria makubaliano yoyote na Hawa jamaa wa kijani ili kutunza viwanja kama CCM wameshindwa kuajiri watu, nanyi mmeshindwa kuajiri watu ambao mngewapa hata posho baada ya kila mechi kama hamuwezi kuwalipa mshahara au mapato yote mnakula?
BADILIKENI BWANA MNASHINDWA HATA NA KINA GYMKHANA, VIWANJA VYAO NCHI NZIMA KIJANI TU KAJIFUNZENI KWAO BASI
SINA TATIZO HILO
TUachane na vyoo au segemu za majukwaa tuko tayari kusimama lakini hivi ni kweli CCM mmeshindwa kuajiri angalau watu wawili wa kumwagilia uwanja ili uwe kwenye mazingira bora?
Mimi ninavyofahamu jinsi kazi zilivyo ngumu hata mshahara wa laki moja kwa mtu mmoja ungetosha kuwalipa wamwagiliaji au mapato ya kila mwisho wa wiki hayatoshi?
Nanyi vilabu pia mmeshindwa kufikiria makubaliano yoyote na Hawa jamaa wa kijani ili kutunza viwanja kama CCM wameshindwa kuajiri watu, nanyi mmeshindwa kuajiri watu ambao mngewapa hata posho baada ya kila mechi kama hamuwezi kuwalipa mshahara au mapato yote mnakula?
BADILIKENI BWANA MNASHINDWA HATA NA KINA GYMKHANA, VIWANJA VYAO NCHI NZIMA KIJANI TU KAJIFUNZENI KWAO BASI