makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
CCM kwisha kazi. CCM wako mahututi ICU.CCM wanapumulia Oksijeni. CCM jeuiri kwisha!!!
Ziko wapi tambo na majigambo ya CCM waliyokuwa wakibwabwaja kwenye majukwaa kuwa watashinda kwa kishindo tena kwa asilimia 80%. Walikataa hata matokeo yao wenyewe ya kupikwa na REDET-71% na Synovate-62%.
Ewe dude CCM kuko wapi kujidai kwako na kutukana wapinzani kuwa ni KOKOTO,PHOTOCOPY, na oh wanataka kwenda Ikulu kwa First Lady wa kuazima na upuuzi wote mliokuwa mnaropoka dhidi ya Slaa na wagombea wengine wa vyama vya upinzani.
Baada ya kupiga kura na matokeo kuanza kutangazwa CCM mmejionea wenyewe nani alikuwa anazungumza ukweli kati ya CCM na UPINZANI.Hamuamini kile mnachokiona na badala yake mmeamua kuchelewesha matokeo ili mpate kubadilisha matokeo kwa faida yenu. Watanzania wameamua kuwa HAWADANGANYIKI!!!!!!!!!!!!!
Jeuri yote imekwisha.Tuambieni mtaendeshaje nchi wakti mnataka kuingia Ikulu kwa kura za kughushi,kura za kuiba,kura za kuchakachua.
Kiwete,Makamba na Kinana jitokezeni muuleze umma wa Watanzania imekuwaje?
Je,huu ushindi wa 80% mliokuwa mnasema ulikuwa ni wa kupanga kwa KURA ZA WIZI au????
Ziko wapi tambo na majigambo ya CCM waliyokuwa wakibwabwaja kwenye majukwaa kuwa watashinda kwa kishindo tena kwa asilimia 80%. Walikataa hata matokeo yao wenyewe ya kupikwa na REDET-71% na Synovate-62%.
Ewe dude CCM kuko wapi kujidai kwako na kutukana wapinzani kuwa ni KOKOTO,PHOTOCOPY, na oh wanataka kwenda Ikulu kwa First Lady wa kuazima na upuuzi wote mliokuwa mnaropoka dhidi ya Slaa na wagombea wengine wa vyama vya upinzani.
Baada ya kupiga kura na matokeo kuanza kutangazwa CCM mmejionea wenyewe nani alikuwa anazungumza ukweli kati ya CCM na UPINZANI.Hamuamini kile mnachokiona na badala yake mmeamua kuchelewesha matokeo ili mpate kubadilisha matokeo kwa faida yenu. Watanzania wameamua kuwa HAWADANGANYIKI!!!!!!!!!!!!!
Jeuri yote imekwisha.Tuambieni mtaendeshaje nchi wakti mnataka kuingia Ikulu kwa kura za kughushi,kura za kuiba,kura za kuchakachua.
Kiwete,Makamba na Kinana jitokezeni muuleze umma wa Watanzania imekuwaje?
Je,huu ushindi wa 80% mliokuwa mnasema ulikuwa ni wa kupanga kwa KURA ZA WIZI au????