GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,518
- 108,793
Tayari wenye Chama chao CHADEMA wameshawafuta rasmi nyie CCM kupitia Spika Ackson mnafanya hila za Kipopoma ( Kipumbavu ) za Kisheria ili muwabakize Bungeni.
Najua CCM na System mnahangaika na hili ili Kumfutia Aibu Spika Ackson ambaye kwa Kiherehere chake alilikoroga kwa Kukurupuka Kuwatetea wakati hata hakuwa na Ufahamu nao wa Kiundani.
Kwahiyo mmeamua Waende Mahakamani kufungua Kesi kisha kwakuwa Serikali ni yenu muwe mnailazimisha Mahakama na Mahakimu mnaowamudu wawe kila mara wanaihairisha hii Kesi ili mradi tu wafike hadi 2025 ila kwa sasa muendelee kuwa nao Bungeni?
Msidhani Watanzania wote ni Majuha.
Najua CCM na System mnahangaika na hili ili Kumfutia Aibu Spika Ackson ambaye kwa Kiherehere chake alilikoroga kwa Kukurupuka Kuwatetea wakati hata hakuwa na Ufahamu nao wa Kiundani.
Kwahiyo mmeamua Waende Mahakamani kufungua Kesi kisha kwakuwa Serikali ni yenu muwe mnailazimisha Mahakama na Mahakimu mnaowamudu wawe kila mara wanaihairisha hii Kesi ili mradi tu wafike hadi 2025 ila kwa sasa muendelee kuwa nao Bungeni?
Msidhani Watanzania wote ni Majuha.