afsa
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 1,983
- 1,574
Serikali inajiandaa kuwapoteza raia wengi zaidi.
Serikali ndio mlinzi wa kwanza wa raia lakini raia wanapotea serikali haijali.
Inaamua kutoa kauli nyepesi "ni wahamiaji haramu"
Wahamiaji haramu hawana haki ya kuishi?
Ben saanane amepotea ,huyo ni maarufu wapo wengi wanaopotea kimyakimya.
Hawa watanzania wanaofinywa wanaitia laana nchi yetu.
Wakiweza kuwachomoa member wa JF watakuwa wameweza kuangamiza fikra tofauti, tutegemee kuishi Taifa la aina ipi?
Badala ya kuwaza kuwaletea maendeleo wananchi ili wakosoaji wakose la kusema ninyi mnahangaisha vichwa vyenu kuwaza wananchi wenu wapotee?
FreeLema
FreeMelo
BringBackBenSaanane.
Serikali ndio mlinzi wa kwanza wa raia lakini raia wanapotea serikali haijali.
Inaamua kutoa kauli nyepesi "ni wahamiaji haramu"
Wahamiaji haramu hawana haki ya kuishi?
Ben saanane amepotea ,huyo ni maarufu wapo wengi wanaopotea kimyakimya.
Hawa watanzania wanaofinywa wanaitia laana nchi yetu.
Wakiweza kuwachomoa member wa JF watakuwa wameweza kuangamiza fikra tofauti, tutegemee kuishi Taifa la aina ipi?
Badala ya kuwaza kuwaletea maendeleo wananchi ili wakosoaji wakose la kusema ninyi mnahangaisha vichwa vyenu kuwaza wananchi wenu wapotee?
FreeLema
FreeMelo
BringBackBenSaanane.