CCM na serikali yake msitufanye Watanzania wajinga,

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,843
Kwanza kabisa nimpe pole Max kwenye hiki kipindi anachopitia na ujasiri anao uonyesha wa kutoteteleka kutoka kwa uonevu anaofanyiwa na utawala ulioamua kutokosolewa.

Nirudi kwa ccm,Ccm msitufanye watanzania ni wajinga au watoto kwa mambo mnayoendelea kuyafanya.

Naomba mnijibu maswali yafuatayo.

1: Kwanini Sheria ya Gesi ambayo ni rasilimali ya taifa mswada wake ulipitishwa kwa hati ya dharura?.

2 : Kwanini Sheria mpya ya Habari mlihonga wabunge milion 10 kwa mjibu wa Mbowe maana hamjawai kukanusha ili mpitishe haraka na ianze kufanya Kazi?...

3: Kwanini sheria ya mitandaoni (cyber crime) ilipitishwa kwa hati ya dharura tena usiku ?

Hivi sheria nzuri unawezaje kukipitisha kwa dharura?

Sheria nzuri inawezaje kuvunja matakwa ya katiba ya nchi ?

Hivi ni kipi kikubwa kati ya Sheria na Katiba?

Hivi sheria zinazowahusu watanzania zaidi ya Milioni 50 inawezaje kuchambuliwa na kupitishwaje na fisadi chenge tena kwa hati ya dharura?......

Ccm muache Mara moja kuwafanya watanzania wote ni wajinga endeleeni kuwaburuza wajinga lakini watu tunaojielewa mtuache tufanye mambo yetu kwa Uhuru .

Mimi binafisi sitanyamaza,na sitanyamazishwa kuusema ukweli kwa kumsema mtu yeyote hasa wanaochezea amani ya nchi .

Ccm mkumbuke chuki mnayoipandikiza itawarudia nyie wenyewe kwa maono yangu.

"Love is the only force capable of transforming an enemy into a friend. Darkness cannot drive at darkness, Only light Can do that,And Hate cannot drive out hate, Only Love can do that"

Nasisitiza sitanyamaza,wala sitanyazishwa na wezi na majambazi wa nchi hii na matapeli wa siasa.
 
Sasa hivi watamuuzia dangote gesi kwa bei ya kutupwa, nasikia na yale magari zaidi ya mia sita hayajalipiwa kodi sasa sijui wanataka kuua viwanda vingine vya cement, mwekezaji wa kiwanda cha mbolea ambaye ametia saini leo amesema atapewa gesi bure, sasa nimeelewa kwa nini miswaada ile ilisainiwa kwa dharula tena usiku
 
acha tuitumie jf yetu kimwishoo!maana kumechafukwa huku!sasa hivi malaika anaizima maana ameshika swichi
 
Kwanza kabisa nimpe pole Max kwenye hiki kipindi anachopitia na ujasiri anao uonyesha wa kutoteteleka kutoka kwa uonevu anaofanyiwa na utawala ulioamua kutokosolewa.

Nirudi kwa ccm,Ccm msitufanye watanzania ni wajinga au watoto kwa mambo mnayoendelea kuyafanya.

Naomba mnijibu maswali yafuatayo.

1: Kwanini Sheria ya Gesi ambayo ni rasilimali ya taifa mswada wake ulipitishwa kwa hati ya dharura?.

2 : Kwanini Sheria mpya ya Habari mlihonga wabunge milion 10 kwa mjibu wa Mbowe maana hamjawai kukanusha ili mpitishe haraka na ianze kufanya Kazi?...

3: Kwanini sheria ya mitandaoni (cyber crime) ilipitishwa kwa hati ya dharura tena usiku ?

Hivi sheria nzuri unawezaje kukipitisha kwa dharura?

Sheria nzuri inawezaje kuvunja matakwa ya katiba ya nchi ?

Hivi ni kipi kikubwa kati ya Sheria na Katiba?

Hivi sheria zinazowahusu watanzania zaidi ya Milioni 50 inawezaje kuchambuliwa na kupitishwaje na fisadi chenge tena kwa hati ya darura?......

Ccm muache Mara moja kuwafanya watanzania wote ni wajinga endeleeni kuwaburuza wajinga lakini watu tunaojielewa mtuache tufanye mambo yetu kwa Uhuru .

Mimi binafisi sitanyamaza,na sitanyamazishwa kuusema ukweli kwa kumsema mtu yeyote hasa wanaochezea amani ya nchi .

Ccm mkumbuke chuki mnayoipandikiza itawarudia nyie wenyewe kwa maono yangu.

"Love is the only force capable of transforming an enemy into a friend. Darkness cannot drive at darkness, Only light Can do that,And Hate cannot drive out hate, Only Love can do that"

Tuachieni Uhuru wetu wa kutoa maoni


Sasa kama umeshaamua ulivyoamua unaleta Habari ya nini hapa? Si ufanye unalotaka kufanya?
 
Siku wananchi wakichoka, si kikosi maalum, FFU, wala kiongozi yeyote atakaeweza kuuzima huo moto.
Viongozi na chama tawala wasilewe sifa na kusahau wajibu wao. Wanaendesha mambo kwa kujali maslahi yao binafsi tu.
 
Siku wananchi wakichoka, si kikosi maalum, FFU, wala kiongozi yeyote atakaeweza kuuzima huo moto.
Viongozi na chama tawala wasilewe sifa na kusahau wajibu wao. Wanaendesha mambo kwa kujali maslahi yao binafsi tu.
Tatizo watanzania wengi waoga kama tu panya road wanawakimbiza watu barabarani hao Ffu vp itakuaje
 
Sasa hivi watamuuzia dangote gesi kwa bei ya kutupwa, nasikia na yale magari zaidi ya mia sita hayajalipiwa kodi sasa sijui wanataka kuua viwanda vingine vya cement, mwekezaji wa kiwanda cha mbolea ambaye ametia saini leo amesema atapewa gesi bure, sasa nimeelewa kwa nini miswaada ile ilisainiwa kwa dharula tena usiku
hivi kwa post hii na zingine za aina hii Max atapata dhamana kweli?wewe unaitukana na kuikashifu serikali kwa vitu vya kusikia,, je kesho tukisikia umekatwa ukajieleze juu ya kauli zako,,je tutasema serikali hii ni dikteta?

Tatizo serikali ya hawamu ya 4 iliendekeza upuuzi wote huu na kuifanya taasisi ya uraisi kuwa km mjumbe wa nyumba kumi lakini kwa hawamu hii HESHIMA NA THAMANI YA TAASISI YA URAIS NA IKULU LAZIMA IRUDI!!!
 
Kwanza kabisa nimpe pole Max kwenye hiki kipindi anachopitia na ujasiri anao uonyesha wa kutoteteleka kutoka kwa uonevu anaofanyiwa na utawala ulioamua kutokosolewa.

Nirudi kwa ccm,Ccm msitufanye watanzania ni wajinga au watoto kwa mambo mnayoendelea kuyafanya.

Naomba mnijibu maswali yafuatayo.

1: Kwanini Sheria ya Gesi ambayo ni rasilimali ya taifa mswada wake ulipitishwa kwa hati ya dharura?.

2 : Kwanini Sheria mpya ya Habari mlihonga wabunge milion 10 kwa mjibu wa Mbowe maana hamjawai kukanusha ili mpitishe haraka na ianze kufanya Kazi?...

3: Kwanini sheria ya mitandaoni (cyber crime) ilipitishwa kwa hati ya dharura tena usiku ?

Hivi sheria nzuri unawezaje kukipitisha kwa dharura?

Sheria nzuri inawezaje kuvunja matakwa ya katiba ya nchi ?

Hivi ni kipi kikubwa kati ya Sheria na Katiba?

Hivi sheria zinazowahusu watanzania zaidi ya Milioni 50 inawezaje kuchambuliwa na kupitishwaje na fisadi chenge tena kwa hati ya darura?......

Ccm muache Mara moja kuwafanya watanzania wote ni wajinga endeleeni kuwaburuza wajinga lakini watu tunaojielewa mtuache tufanye mambo yetu kwa Uhuru .

Mimi binafisi sitanyamaza,na sitanyamazishwa kuusema ukweli kwa kumsema mtu yeyote hasa wanaochezea amani ya nchi .

Ccm mkumbuke chuki mnayoipandikiza itawarudia nyie wenyewe kwa maono yangu.

"Love is the only force capable of transforming an enemy into a friend. Darkness cannot drive at darkness, Only light Can do that,And Hate cannot drive out hate, Only Love can do that"

Tuachieni Uhuru wetu wa kutoa maoni
Watetea mafisadi wa ufipa hata wangepewa miaka 20 kuisoma hiyo sheria wasingekubali kupitisha sheria ambayo itakuja kuwabana wapotoshaji, waongo, wanafiki ,wachawi na mafisadi wenzao wa hapo ufipa
 
hivi kwa post hii na zingine za aina hii Max atapata dhamana kweli?wewe unaitukana na kuikashifu serikali kwa vitu vya kusikia,, je kesho tukisikia umekatwa ukajieleze juu ya kauli zako,,je tutasema serikali hii ni dikteta?

Tatizo serikali ya hawamu ya 4 iliendekeza upuuzi wote huu na kuifanya taasisi ya uraisi kuwa km mjumbe wa nyumba kumi lakini kwa hawamu hii HESHIMA NA THAMANI YA TAASISI YA URAIS NA IKULU LAZIMA IRUDI!!!

Wapi kuvunja sheria?....

Au ndio wapuuzi wale wale tu?....

Gazeti la Uhuru linapoandika habari za uchochezi na uongo ni lini limefungiwa?....
 
Nyinyi ndiyo watu soft mayai nyinyi.
hivi kwa post hii na zingine za kipumbavu km hii Max atapata dhamana kweli?wewe unaitukana na kuikashifu serikali kwa vitu vya kusikia,, je kesho tukisikia umekatwa ukajieleze juu ya kauli zako,,je tutasema serikali hii ni dikteta?

Tatizo serikali ya hawamu ya 4 iliendekeza upuuzi wote huu na kuifanya taasisi ya uraisi kuwa km mjumbe wa nyumba kumi lakini kwa hawamu hii HESHIMA NA THAMANI YA TAASISI YA URAIS NA IKULU LAZIMA IRUDI!!!
 
Tuliambiwa toka zamani kwamba kwa katiba hii tuliyonayo akipatikana raisi anaejua kuitumia jua tumekwisha.Sasa ndio ameshapatikana tayari
 
Sheria hizi kujaribu kuzuia watu kuongea ni ubatili mtupu.

Mimi binafsi kamwe sitoopoga kusema lolote nalooamini ni kweli iwe mbele ya dola au yeyote yule.

Nilizaliwa Tanzania nikiwa huru, kusema ndiyo haki ya msingi kabisa kwangu. Wewe unayejaribu kuzuia ni nani?

Hakuna kuogopa yeyote.
 
Tuliambiwa toka zamani kwamba kwa katiba hii tuliyonayo akipatikana raisi anaejua kuitumia jua tumekwisha.Sasa ndio ameshapatikana tayari
Bora hata angefuata katiba sasa katiba yenyewe kaweka pembeni eti ananyoosha nchi...nonsense....

Afuate tuone kama inazuia hayo anayoyazuia ....

Nyie mnaomsifia ndio mnazidi kumpa kichwa azidi kuvuruga nchi....
 
Back
Top Bottom