Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Ukiskia press ya polepole, press ya Magufuli, press ya Sabaya mikusanyiko wanayoikataza ni ya siasa pekeee na hasa ya Chadema.
Ndio maana Lema katumiwa askari zaidi ya 20, na bunduki za kutosha kama wanasaka jambazi sugu. lakini Lema ana simu, kwanini hawampigii?
Naona airport na mipaka na tuna gun za kupima joto pekee na sampuli lazima iende Dar, yaani tuna maabara moja nchi nzima ya kupima corona.
Serikali hii ina vyombo vya kisasa kulinda wanasiasa kuliko kulinda afya za walipa kodi.
Madukani hakuna mask na ukizipa box ya mask iliyokuwa ikiuzwa shs 7,000 kwa sasa inauzwa 150,000
Ndio maana Lema katumiwa askari zaidi ya 20, na bunduki za kutosha kama wanasaka jambazi sugu. lakini Lema ana simu, kwanini hawampigii?
Naona airport na mipaka na tuna gun za kupima joto pekee na sampuli lazima iende Dar, yaani tuna maabara moja nchi nzima ya kupima corona.
Serikali hii ina vyombo vya kisasa kulinda wanasiasa kuliko kulinda afya za walipa kodi.
Madukani hakuna mask na ukizipa box ya mask iliyokuwa ikiuzwa shs 7,000 kwa sasa inauzwa 150,000