Kwani kama Mswada wa Kuanzisha Mchakato wa Katiba Mpya ungesomwa kwa mara ya Kwanza, CCM na Serikali yake wangepungikiwa na nini? Ninahisi Serikali haishauriwi vizuri.....na hao wanaojiita washauri......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.