CCM na Serikali wangepoteza nini Mswada Kusomwa Mara ya Kwanza?

Nyami2010

JF-Expert Member
Dec 2, 2009
227
50
WanaJF

Nisaidieni jamani.

Kwani kama Mswada wa Kuanzisha Mchakato wa Katiba Mpya ungesomwa kwa mara ya Kwanza, CCM na Serikali yake wangepungikiwa na nini? Ninahisi Serikali haishauriwi vizuri.....na hao wanaojiita washauri......
 
hawajasahau mziki wa dodoma,zanzibar na dar.
hawataweza kupitisha ajenda yao ya siri ya kuunda katiba maslahi.
 
Back
Top Bottom