Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Mkuu naona umetonesha DONDA!!! hii ndiyo riport iliyomwondoa Mh. Six kwenye kinyanganyiro cha uspika awamu ya pili kwa tuhuma za kuihenyesha Serikali yake ya chama cha mapinduzi bungeni. . hii riport ni mwiba - ni hatari - Maazimio hayo ni magumu kutekelezeka kwa mfumo uliopo sasa.
Naona karudishwa tena, huenda ni kwa masharti