Nimekutana na picha hii kule kwa Hakingowi, wananchi wa Chunya na Mbunge wenu ipo haja ya kulifanyia kazi hili;
Mwalimu Albert Juakali wa shule ya Msingi Iboma kijiji cha Udinde (majina mengine jamani) akimwaga "darasa" kwa wanafunzi wake.
NB cheki hiyo njemba anawaangalia wanafunzi wenzie sijui ndio monita huyo.
Mwalimu Albert Juakali wa shule ya Msingi Iboma kijiji cha Udinde (majina mengine jamani) akimwaga "darasa" kwa wanafunzi wake.
NB cheki hiyo njemba anawaangalia wanafunzi wenzie sijui ndio monita huyo.