CCM na Serikali Chunya mpo?

Masatu

JF-Expert Member
Jan 29, 2007
3,276
125
Nimekutana na picha hii kule kwa Hakingowi, wananchi wa Chunya na Mbunge wenu ipo haja ya kulifanyia kazi hili;

Juakali-Chunya.jpg


Mwalimu Albert Juakali wa shule ya Msingi Iboma kijiji cha Udinde (majina mengine jamani) akimwaga "darasa" kwa wanafunzi wake.

NB cheki hiyo njemba anawaangalia wanafunzi wenzie sijui ndio monita huyo.
 
Nimekutana na picha hii kule kwa Hakingowi, wananchi wa Chunya na Mbunge wenu ipo haja ya kulifanyia kazi hili;

Juakali-Chunya.jpg


Mwalimu Albert Juakali wa shule ya Msingi Iboma kijiji cha Udinde (majina mengine jamani) akimwaga "darasa" kwa wanafunzi wake.

NB cheki hiyo njemba anawaangalia wanafunzi wenzie sijui ndio monita huyo.

Masatu,

Hilo ni jimbo la mpiganaji na ufisadi Mwambalaswa. Naona yuko busy kupambana na akina AR na Lowassa huko Dar na Dodoma huku kwake kunateketea.

Laiti zile posho mbili, angetumia nusu kusaidia ili jimboni kwake kusiwe na shule kama hiyo.

Siajabu akiulizwa atakataa kwamba kwake hakuna shule kama hiyo.

Hatuna sababu za kuwa na shule kama hiyo kwenye nchi ambayo viongozi wake wanatembelea Mashangingi na viongozi wake kulipwa posho mara mbili.
 
- Atleast the idea ipo ya kuwa na shule, na watoto wako darasani hapahitaji siasa hapo! Panahitaji msaada halafu siasa baadaye!

Respect.


FMeS!
 
Kikweli tunahitaji viongozi makini katika kushughulikia masuala kama haya, ambayo ni ya msingi sana lakini kwa jinsi nchi hii ilivyo hata kiongozi mkuu wa nchi akiona picha hii bado haitomshitua kwani viongozi wetu wengi ni wa porojo na sio wa vitendo. Ila tukumbuke ukombozi wetu uko mikononi mwetu, suala ni je tufanyeje?
 
Nimekutana na picha hii kule kwa Hakingowi, wananchi wa Chunya na Mbunge wenu ipo haja ya kulifanyia kazi hili;

Juakali-Chunya.jpg


Mwalimu Albert Juakali wa shule ya Msingi Iboma kijiji cha Udinde (majina mengine jamani) akimwaga "darasa" kwa wanafunzi wake.

NB cheki hiyo njemba anawaangalia wanafunzi wenzie sijui ndio monita huyo.

Duh! Hii ni shule ya Msingi au Mti Jamani, duh it can't be serious kweli Bongo hakuna fair playing ground, halafu huyu mtoto mwisho wa siku anafanya mtihani mmpoja na mtoto wa olympio LoL!
 
Sidhani kama ni shule hii ama darasa! Huenda Mwalimu anajiongezea kipato kwa kupiga tuition chini ya huo mti!
 
ofauti ya nyani na binadamu.Binadamu anajali binadamu wenzake.Nyani ni yeye tu,hao watoto na mwalimu ni watanzania wenzetu.Wakazi wa Chunya Da Es Salaam wanaweza kufanya fundraising na mbunge wao ili kuokoa watz wenzetu ambao hawana uwezo huko kijijini.

Shame to we people.Roho inaniuma
 
Masatu,

Hilo ni jimbo la mpiganaji na ufisadi Mwambalaswa. Naona yuko busy kupambana na akina AR na Lowassa huko Dar na Dodoma huku kwake kunateketea.

Laiti zile posho mbili, angetumia nusu kusaidia ili jimboni kwake kusiwe na shule kama hiyo.

Siajabu akiulizwa atakataa kwamba kwake hakuna shule kama hiyo.

Hatuna sababu za kuwa na shule kama hiyo kwenye nchi ambayo viongozi wake wanatembelea Mashangingi na viongozi wake kulipwa posho mara mbili.

Mkuu bambumbile wilaya ya Chunya ina majimbo mawili, jimbo la Songwe na jimbo la Lupa. kwahiyo kuna wabunge wawili, Dr Sigonda na
Mwambalaswa. Dr Sigonda ni mbuge kutoka jimbo la songwe na Mwambalaswa kutoka Lupa. Shule ya Msingi Iboma ya kijiji cha Udinde inapatikana jimbo la Songwe, kwahiyo hii shule ipo kwenye jimbo la Dr Singonda na si Mwambalaswa kama ulivyosema.
 
DR Sigonda ana Phd ya wapi?Kama nina Phd ya uhakika wananchi wangu jimboni hatasota namna hiyo
 
Masatu,

Hilo ni jimbo la mpiganaji na ufisadi Mwambalaswa. Naona yuko busy kupambana na akina AR na Lowassa huko Dar na Dodoma huku kwake kunateketea.

Laiti zile posho mbili, angetumia nusu kusaidia ili jimboni kwake kusiwe na shule kama hiyo.

Siajabu akiulizwa atakataa kwamba kwake hakuna shule kama hiyo.

Hatuna sababu za kuwa na shule kama hiyo kwenye nchi ambayo viongozi wake wanatembelea Mashangingi na viongozi wake kulipwa posho mara mbili.

MKUU, MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!

Kwa sisi tunaoijua Wilaya ya Chunya vizuri, shule hiyo haiko jimbo la Lupa la Mwambalaswa, iko jimbo la Songwe la Dk. Guido Gorogorio Sigonda, mpambe nambari wani wa mafisadi akina RA, Lowassa, Mwang'onda na Karamagi! Hata "doctorate" yake ni ya mkondo wa akina Mahanga, Nchimbi, Kamala, Nagu na Mathayo! CV yake inaonesha kuwa ana elimu ya darasa la nane na Ph.D! Typical mtandao trash! Mwambalaswa mkosoe kwa jingine, hilo limegonga mwamba!
 
Mwalimu, Albert Juakali wa shule ya msingi Iboma iliyopo kijiji cha Udinde Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya akifundisha wanafunzi wa darasa la kwanza chini ya Mti wa Mbuyu.

FB_IMG_1508728860906.jpg


Cha ajabu zaidi ni kuwa hawa pia wanapimwa kwa mtihani mmoja na wale wanaosoma shule kama Bunge, Tanganyika na nyinginezo zilizo katika mazingira bora.

Pia tunaona serikali inatumia nguvu kubwa kupambana na wapinzani badala ya kujikita kutatua matatizo na umasikini unaoitawala jamii ni muda muafaka sasa serikali ijikite kutatua kero kama hizi na namna ya kuzielekeza kwa usahihi kodi za wananchi vizuri.
 
Mwalimu, Albert Juakali wa shule ya msingi Iboma iliyopo kijiji cha Udinde Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya akifundisha wanafunzi wa darasa la kwanza chini ya Mti wa Mbuyu.

View attachment 615003

Cha ajabu zaidi ni kuwa hawa pia wanapimwa kwa mtihani mmoja na wale wanaosoma shule kama Bunge, Tanganyika na nyinginezo zilizo katika mazingira bora.

Pia tunaona serikali inatumia nguvu kubwa kupambana na wapinzani badala ya kujikita kutatua matatizo na umasikini unaoitawala jamii ni muda muafaka sasa serikali ijikite kutatua kero kama hizi na namna ya kuzielekeza kwa usahihi kodi za wananchi vizuri.
Huo ni ujinga wa Kiafrika udongo wanao maji yapo miti ipo na watu wazima wapo.

Wanashindwa nini kutumia hivyo vitu na kupata darasa la watoto kusoma halafu mnasema mmelogwa au mmejiloga wenyewe.

Mambo mengine tuache kuilaumu Serikali na wewe mchango wako uko wapi.
 
Huo ni ujinga wa Kiafrika udongo wanao maji yapo miti ipo na watu wazima wapo.

Wanashindwa nini kutumia hivyo vitu na kupata darasa la watoto kusoma halafu mnasema mmelogwa au mmejiloga wenyewe.

Mambo mengine tuache kuilaumu Serikali na wewe mchango wako uko wapi.

Kodi zao zinatumikaje? Kuhonga madiwani sio
 
Kodi zao zinatumikaje? Kuhonga maduwani sio
Aliyekuambia kodi inatosha kufanya kila kitu Tanzania nani... walipa kodi ni wangapi, kodi kiasi gani? Wazazi kama wanataka watoto wao wafuate huo ujinga watumie akili zao kubadili hiyo hali na si kusubiri kila kitu Serikali ifanye.
 
Aliyekuambia kodi inatosha kufanya kila kitu Tanzania nani... walipa kodi ni wangapi, kodi kiasi gani? Wazazi kama wanataka watoto wao wafuate huo ujinga watumie akili zao kubadili hiyo hali na si kusubiri kila kitu Serikali ifanye.

Mpya hii na kali ya mwaka milele
 
Subiri tu Serikali kila kitu utakufa hujui kusoma wala kuandika.

Mzee wa Kimasai pale Monduli alijenga shule yake kwa ajili ya watoto wake 100 kwa wake 30

Ndo mana nimekwambia hii kali ya mwaka kama wakina chenge na tibaijuka wanagawana pesa zile halafu unashikilia wananchi wajijengee shule hili ni jambo la ajabu sana
 
Ndo mana nimekwambia hii kali ya mwaka kama wakina chenge na tibaijuka wanagawana pesa zile halafu unashikilia wananchi wajijengee shule hili ni jambo la ajabu sana
Subiri pesa ya Chenge na Tibaijuka shauri yako na kijiji chako.
 
Back
Top Bottom