CCM na Salmin kuna salama? Mbona Kinje hajawahi pelekwa huko?

Mugishagwe

JF-Expert Member
Apr 28, 2006
300
58
Posted Date::3/8/2008
Mtoto wa Komandoo Salmin aburuzwa kortini
Na Tausi Ally


MTOTO wa Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Salmin Amour, Amin Amour (36), amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kujibu mashtaka ya kula njama na kujipatia dola za 6,000 za Marekani kwa njia ya unganyifu.


Ilidaiwa mbele ya Hakimu Mkazi, Rose Kangwa kuwa, Februari mwaka huu mshtakiwa huyo, Munir Juma (35) na wenzao wawili ambao bado hawajakamatwa walikula njama ya kujipatia fedha hizo kwa Baosheng Ge baada ya kumdanganya kuwa wana nyumba kwenye kiwanja namba

MKC/MCA 1207 uko Mikocheni ambayo wangempangisha wakati wakijua kuwa si kweli.


Ilidaiwa kuwa, washtakiwa hao walijipatia kiasi hicho, Februari Mosi, majira ya saa 10:30 jioni katika maeneo hayo ya Mikocheni


Washitakiwa walikana mashtaka na upande wa mashitaka kudai kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika. Hakimu Kangwa aliamuru washitakiwa hao warudishwe rumande baada ya kushindwa kukamilisha masharti ya dhamana . Kesi hiyo, itatajwa tena Machi 19.
 
Posted Date::3/8/2008
Mtoto wa Komandoo Salmin aburuzwa kortini
Na Tausi Ally


MTOTO wa Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Salmin Amour, Amin Amour (36), amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kujibu mashtaka ya kula njama na kujipatia dola za 6,000 za Marekani kwa njia ya unganyifu.


Ilidaiwa mbele ya Hakimu Mkazi, Rose Kangwa kuwa, Februari mwaka huu mshtakiwa huyo, Munir Juma (35) na wenzao wawili ambao bado hawajakamatwa walikula njama ya kujipatia fedha hizo kwa Baosheng Ge baada ya kumdanganya kuwa wana nyumba kwenye kiwanja namba

MKC/MCA 1207 uko Mikocheni ambayo wangempangisha wakati wakijua kuwa si kweli.


Ilidaiwa kuwa, washtakiwa hao walijipatia kiasi hicho, Februari Mosi, majira ya saa 10:30 jioni katika maeneo hayo ya Mikocheni


Washitakiwa walikana mashtaka na upande wa mashitaka kudai kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika. Hakimu Kangwa aliamuru washitakiwa hao warudishwe rumande baada ya kushindwa kukamilisha masharti ya dhamana . Kesi hiyo, itatajwa tena Machi 19.

huyu amini matata sana, maaana hata baba yake keshamchoka.

kweli kuzaa si kupata, kupata ni majaaaliwa.


hapa si suala ccm wala nn, ukiona kafikia hapa ujue watu weshachoka,

kibunango anayajua mengi ya huyu hebu njoo utujuvye kuhusu huyu mwana
 
huyu amini matata sana, maaana hata baba yake keshamchoka.

kweli kuzaa si kupata, kupata ni majaaaliwa.


hapa si suala ccm wala nn, ukiona kafikia hapa ujue watu weshachoka,

kibunango anayajua mengi ya huyu hebu njoo utujuvye kuhusu huyu mwana


Kumbe ni mwana mkorofi? manake katika watoto huwa anatokea mmoja hasikii la mwadhini wala mnadi swala!
 
huyu amini matata sana, maaana hata baba yake keshamchoka.

kweli kuzaa si kupata, kupata ni majaaaliwa.


hapa si suala ccm wala nn, ukiona kafikia hapa ujue watu weshachoka,

kibunango anayajua mengi ya huyu hebu njoo utujuvye kuhusu huyu mwana

MMhm...! huyu Amin ni mtu wa vituko tokea asubuhi, ila sasa naona amekutana na kisiki... Namwonea huruma huyo mwenzake, kwani atakuwa ameshawishiwa na Amin tu...

"Majuto Mjukuu"
 
Washitakiwa walikana mashtaka na upande wa mashitaka kudai kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika. Hakimu Kangwa aliamuru washitakiwa hao warudishwe rumande baada ya kushindwa kukamilisha masharti ya dhamana . Kesi hiyo, itatajwa tena Machi 19.

Hiyo peke yake inathibitisha wazazi/walezi "wamemchoka" ngoja akaione dunia huko
 
Posted Date::3/8/2008
Mtoto wa Komandoo Salmin aburuzwa kortini
Na Tausi Ally


MTOTO wa Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Salmin Amour, Amin Amour (36), amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kujibu mashtaka ya kula njama na kujipatia dola za 6,000 za Marekani kwa njia ya unganyifu.

Wanafanya kulingana na malezi.Watoto wanaona baba zao wanaiba hawashitakiwi na wao wanaamua kufanya kweli
 
Hiyo peke yake inathibitisha wazazi/walezi "wamemchoka" ngoja akaione dunia huko

Bado sijapata majibu ya swali .Kumbe kama angalikuwa si mwana mkorofi kama Kinje na wengine akina mtoto wa Mungai mambo yangeuishia huko huko na wala si Mahakamani ?
 
Bado sijapata majibu ya swali .Kumbe kama angalikuwa si mwana mkorofi kama Kinje na wengine akina mtoto wa Mungai mambo yangeuishia huko huko na wala si Mahakamani ?

Hapa sioni utata. Mtoto wa Kingunge ameshapelekwa mahakamani na kesi yake inaendelea kusikilizwa kuhusu issue ile ya Bar One, naomba utafute hiyo thread. Pia aliwahi kufikishwa mahakamni na girlfriend wake wa zamani.
Na hata kama mtoto wa kingunge asingekuwa ameshtakiwa, haiondoi au haifuti makosa ya mtoto wa Salmin! Kafanya kosa, kakamatwa kawekwa ndani that's how the law SHOULD work! Wazazi hawakutoa dhamana, it means STAY WHERE YOU ARE.
Sasa ukijaribu kusema mbona mtoto wa fulani naye...jibu langu: Two wrongs don't make one right! Huyu ashughulikiwe na hao watoto wengine nao watashughulikiwa.
 
Kwa maoni ya walio wengi ni kwamba Kingunge hajachoka na mambo ya Kinje??????
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom