Baada ya kuwajazia mafuta lita tano tano watu wa boda boda ndipo ilipo fika zamu ya Bajaji kujaziwa lita kumi kumi ili waende kwenye mkutano wao mweeee Mbeya
Sekretariate ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), 1. Mwenyekiti - Jakaya Kikwete - Muislamu 2. Katibu Mkuu - Abdulrahman Kinana - Muislamu 3. Naibu Katibu Bara - Mwigulu Nchemba - Muislamu 4. Naibu Katibu Viziwani - Vuai Ally Vuai - Muislamu 5. Katibu Itikani na Uenezi - Nape Nnauye - Muislamu 6. Katibu wa NEC Siasa na uhusiano - Asha Migiro - Muislamu (Zamani mkristo) 7. Katibu wa NEC Uchumi na Fedha - Zakia Meghji - Muislamu 8. Katibu wa NEC Oganizesheni - Mohamed Seif Khatib - Muislamu
Tukija kwenye serikali nyadifa zote muhimu zimekamatwa na waislamu 1. Rais wa Nchi - Muislamu 2. Makamu wa Rais - Muislamu 3. Jaji Mkuu - Muislamu 4. Mkuu wa Usalama wa Taifa Muislamu 5. Mkuu wa Polisi - Muislamu 6. Waziri wa Ulinzi (wizara nyeti na muhimu) – Muislamu 7. Rais wa Zanzibar muislam 8. Makam wa Rais Zanzibar wote ni waislam
Wakuu wa Mikoa 65% ni Waislamu. Wakuu wa Wilaya 80% ni waislamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.