Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Kitendo cha M'kiti wa CCM kutumia fedha za walipa kodi kwenda Mbeya 'kuwahonga' wakazi wa kule kwa kutangaza mradi mkubwa wa maji huku akiwabeza CDM kwamba hawana lolote katika kuwaletea wananchi maendeleo na ni wagomvi, ni kielelezo tosha cha kutapatapa kwa kiongozi huyo wa nchi na chama chake.
Anatoa 'hongo' hiyo kwa kujaribu kurudisha imani na umaarufu unaozidi kutoweka huku madudu kila siku yanaripotiwa kuhusu watendaji wake wakuu kutafuna mapesa ya umma tena bila kunawa na yeye anawatazama tu na kucheka cheka kama vile h.......
Anasema eti CDM hawana la kuwaletea wananch maendeleo, nauliza, hivi hizo fedha za mradi huo wa maji wa Mbeya ulitoka CCM -- pale Lumumba? Mchemba atuonyeshe ni hundi ipi aliosaini kutoa fedha za mradi huo!
CCM na rais wenu mnapenda sana kutafuta kurudisha umaarufu mliopoteza kwa kutumia cheap propaganda kwa kutumia hela za walipa kodi.
Nimeshangaa hata Msekwa anaanza kukishtukia chama chenu....
mmekwisha kabisa!!!!!!!!!!!!!
Anatoa 'hongo' hiyo kwa kujaribu kurudisha imani na umaarufu unaozidi kutoweka huku madudu kila siku yanaripotiwa kuhusu watendaji wake wakuu kutafuna mapesa ya umma tena bila kunawa na yeye anawatazama tu na kucheka cheka kama vile h.......
Anasema eti CDM hawana la kuwaletea wananch maendeleo, nauliza, hivi hizo fedha za mradi huo wa maji wa Mbeya ulitoka CCM -- pale Lumumba? Mchemba atuonyeshe ni hundi ipi aliosaini kutoa fedha za mradi huo!
CCM na rais wenu mnapenda sana kutafuta kurudisha umaarufu mliopoteza kwa kutumia cheap propaganda kwa kutumia hela za walipa kodi.
Nimeshangaa hata Msekwa anaanza kukishtukia chama chenu....
mmekwisha kabisa!!!!!!!!!!!!!