Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli ndio huo, labda kwa mtu asiye na uwezo wa kufikiri ndio hataona kwamba CCM na Magufuli wanataumia ajali ya moto Morogoro kama mtaji wa kisiasa.
Hatukatai kwamba wakati wa hili janga na msiba, labda si vema kuanza kuhukumiana, kama alivyosema Rais Magufuli, japo haina maana baada ya msiba kusiwepo kabisa kuhukumiana. Lakini sasa Rais Magufuli mwenyewe na CCM si kwamba tu hawahukumu, bali wanaenda mbali zaidi kwa kutumia tukio hili kama mtaji wa kisiasa, kujiuza kwa wananchi kisiasa.
Hawa watu waliokufa wakiiba mafuta kwenye ajali wote tunajua ni wahalilifu, vibaka. Tunachoona sasa ni kwamba wamegeuzwa kuwa mashujaa wa namna fulani. Majushaa wa kuiba kwenye tukio la ajali?
Zaidi ya zawadi za maelfu ya pesa yakitangazwa live na vyombo vya habari, kuambiwa serikali itagharamia matibabu (yaani mimi mlipa kodi nigharamie matibabu ya vibaka wa mafuta) sasa tunaambiwa wajajengewa mnara wa kumbukumbu!
MImi kama mlipa kodi wa Tanzania, sitaki hela yangu ya kodi itolewe kama zawadi kwa mhalifu, wala imjengee mhalifu mnara wa kumbukumbu. Labda kwa huruma inaweza kugharamia mazishi, kwa kuwa mhalifu aliyekufa hawezi kujizika.
Hivi tangu lini mhalifu amekuwa akitukuzwa kiasi hicho? Tangu lini Tanzania limewkuwa taifa la kutukuza uhalifu? Hivi CCM wamekuwa desparate kujiuza hadi kufikia kiasi hiki? Au CCM na Raisi Magufuli wanaona kuwa wao ndio kisababishi cha hali mbaya ya mzunguko wa fedha nchini kiasi kuwafanya watu kufanya chochote kujipatia fedha kidogo?
Binafsi wala hata sikuona haja ya raisi Magufuli kuwatembelea hawa watu hospitali na kufanya matangazo mengi ya kutoa msaaada wa fedha huku akitaja kiasi wanachopewa. Na wala sioni haja ya kuwajengea mnara wa kumbukumbu. Na kama ikibidi kujenga huo mnara, basi tuandike maandishi "hapa wamezikwa watu waliokuwa wakiiba mafuta baada ya ajali ya lori. Tujifunze ili tukio kama hili lisije tokea tena.
Sikatai kutoa maneno ya pole kwa wafiwa, lakini jambo la ajabu ni kuona Magufuli na CCM yake wakienda mbali zaidi na kulifanya tukio hili kuwa mtaji wa kisiasa. Hili ni tukio la kihalifu, kwa kiyo serikali na Raisi Magufuli walipaswa watende kwa umakini wakijua hilo, sio kulitumia kujijengea umaarufu wa kisiasa. Hivi mmefikia kuwa desparate kiasi hicho katika kujaribu kufanywa mpendwe na wananchi? CCM kimekuwa chama kibaya cha kujitembeza?
Ajali nyingi sana zimetokea nchini na kuua watu wasio na hatia. Ni mara ngapi umesikia Raisi Magufuli akitembelea majeruhi wa ajali hizo na kuwapa maelefu ya fedha au kuwajengea mnara wa kumbukumbu au ajali hizo kufanywa tukio la kitaifa? Kwa nini hii ya wahalifu hawa ionwe tofauti - au kwa kuwa inakuja tukielekea uchaguzi Mkuu kukiwa na tetesi kwamba serikali ya Magufuli inazidi kuporomoka katika umaarufu na kuwa katika uchaguzi wa haki hataweza kushinda?
Hujasoma hapo juu?Wewe ulitakaje????
Soma tena uelewe. Hata kibaka aliye gerezani anatumia kodi yangu japo sipendi.KWANI WAO WALIKUWA SIYO WALIPA KODI? WANANCHI KARIBU WOTE WANALIPA KODI. WAO VILEVILE WALIKUWA WANALIPA KODI. KWA HIYO HELA ILIYOTUMIKA NI KODI YAO AMBAYO NI HAKI YAO KUITUMIA. MIMI SIONI HAJA YA KULALAMIKA ETI KODI INAPOTEA BURE. HAWA NI BINADAMU LAZIMA WAZIKWE KWA HESHIMA ZAO, LICHA YA AINA YA TUKIO LENYEWE. NA UMESHAAMBIWA WENGINE WALIKUWA NI WAPITA NJIA. HATA KAMA WOTE WALIKUWA WANACHOTA MAFUTA. HIYO PESA ILIYOTUMIKA NI HAKI YAO. KWANI HELA NI KITU GANI JAMANI. TUWAACHE WAPUMZIKE KWA AMANI.
Hayo ni maoni yako tu ila kwa wale ambao ndugu zao ni wahanga [wengine walikuwa wala hawahusiki na kugema mafuta] wamefarijika sana. Kwa upande mwingine jee mlitaka serikali isifanye hayo iliyoyafanya ili muilaumu kwa kutofanya hicho walichokifanya?????Hujasoma hapo juu?
Sio nilichotaka tu, bali ni kilichostahili kufanywa.
Raisi angetoa salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na kwapa pole wafiwa. Angetamka kwamba serikali itagharamia mazishi ya waliokufa ikiwa hawatatambuliwa na ndugu zao, na kugharamia gharama za matibabu kwa majeruhi.
Na pia angekumbusha Watanzania kwa ujumla kwamba wajiepushe na kujichukulia mali pale ambapo ajali zinatokea, kwa kuwa sio tu sio ubinadamu bali pia ni kitendo cha uhalifu na wakikamatwa watachukuliwa hatua.
Basi, hiyo ingetosha kabisa. Hakuna kutembelea hospitali na kutangaza "nakugawia laki tano ukanunue juice", hakuna kutangaza kujenga mnara wa kumbukumbu.
Sasa hapo ndicho usichoelewa! Sio wamefarijika, bali wameshanunuliwa kisiasa, na ndicho Magufuli alichaotaka! Suala halikuwa kufariji bali kununua watu kisiasa!Hayo ni maoni yako tu ila kwa wale ambao ndugu zao ni wahanga [wengine walikuwa wala hawahusiki na kugema mafuta] wamefarijika sana. Kwa upande mwingine jee mlitaka serikali isifanye hayo iliyoyafanya ili muilaumu kwa kutofanya hicho walichokifanya?????
Hayo yanabakia kuwa maoni yako. Jee pale alipokuwa anahudhuria maziko ya watu wengine ambao hata siyo wanasiasa, kutembelea wagonjwa hospitalini alikuwa anafanya kampeni???Sasa hapo ndicho usichoelewa! Sio wamefarijika, bali wameshanunuliwa kisiasa, na ndicho Magufuli alichaotaka! Suala halikuwa kufariji bali kununua watu kisiasa!
Ona hata wewe umeshanunulika, sasa huelewi husikii juu ya Magufuli na CCM yake.
Yaani Watanzania mnanunulika kisiasa kwa pesa ndogo sana na wala hamuoni!
Ebu tukumbushane kidogo, baada ya lori kupinduka hayo mafuta walipewa au ilkuwaje??? Ebe elezea kidogo mkuuWatu wamekufa majamaa zao wanaomboleza Vifo halafu unaropoka na kuwaita Wahalifu?
Inawezekana kwa kiasi fulani, lakini kama ni kawaida yake kufanya hivyo basi sio kampeni.Hayo yanabakia kuwa maoni yako. Jee pale alipokuwa anahudhuria maziko ya watu wengine ambao hata siyo wanasiasa, kutembelea wagonjwa hospitalini alikuwa anafanya kampeni???
Siasa zimekukolea kiasi kwamba haufikirii sawa sawa na uwezo wako mkubwa wa akili.Mjinga wewe unakosa pointi nenda shule zaidi uondoe ujinga. Ninasema CCM wasiwatukuze, sisemi wawaseme vibaya. Kwani Magufuli asingeenda hospitali na kujitutumua kutoa msaada wa fedha ingekuwa kuwasema vibaya? Na wangezikwa bila mnara wa kumbukumbu ni kuwasema vibaya?
Hawawezi kutumia km mtaji hakuna mtaji hapo wa kisiasa. wewe ulitaka watu wasihudumiwe hilo lilikuwa ni janga la Taifa na huo ndio wajibu wa serikali zote dunianiUkweli ndio huo, labda kwa mtu asiye na uwezo wa kufikiri ndio hataona kwamba CCM na Magufuli wanataumia ajali ya moto Morogoro kama mtaji wa kisiasa.
Hatukatai kwamba wakati wa hili janga na msiba, labda si vema kuanza kuhukumiana, kama alivyosema Rais Magufuli, japo haina maana baada ya msiba kusiwepo kabisa kuhukumiana. Lakini sasa Rais Magufuli mwenyewe na CCM si kwamba tu hawahukumu, bali wanaenda mbali zaidi kwa kutumia tukio hili kama mtaji wa kisiasa, kujiuza kwa wananchi kisiasa.
Hawa watu waliokufa wakiiba mafuta kwenye ajali wote tunajua ni wahalilifu, vibaka. Tunachoona sasa ni kwamba wamegeuzwa kuwa mashujaa wa namna fulani. Majushaa wa kuiba kwenye tukio la ajali?
Zaidi ya zawadi za maelfu ya pesa yakitangazwa live na vyombo vya habari, kuambiwa serikali itagharamia matibabu (yaani mimi mlipa kodi nigharamie matibabu ya vibaka wa mafuta) sasa tunaambiwa wajajengewa mnara wa kumbukumbu!
MImi kama mlipa kodi wa Tanzania, sitaki hela yangu ya kodi itolewe kama zawadi kwa mhalifu, wala imjengee mhalifu mnara wa kumbukumbu. Labda kwa huruma inaweza kugharamia mazishi, kwa kuwa mhalifu aliyekufa hawezi kujizika.
Hivi tangu lini mhalifu amekuwa akitukuzwa kiasi hicho? Tangu lini Tanzania limewkuwa taifa la kutukuza uhalifu? Hivi CCM wamekuwa desparate kujiuza hadi kufikia kiasi hiki? Au CCM na Raisi Magufuli wanaona kuwa wao ndio kisababishi cha hali mbaya ya mzunguko wa fedha nchini kiasi kuwafanya watu kufanya chochote kujipatia fedha kidogo?
Binafsi wala hata sikuona haja ya raisi Magufuli kuwatembelea hawa watu hospitali na kufanya matangazo mengi ya kutoa msaaada wa fedha huku akitaja kiasi wanachopewa. Na wala sioni haja ya kuwajengea mnara wa kumbukumbu. Na kama ikibidi kujenga huo mnara, basi tuandike maandishi "hapa wamezikwa watu waliokuwa wakiiba mafuta baada ya ajali ya lori. Tujifunze ili tukio kama hili lisije tokea tena.
Sikatai kutoa maneno ya pole kwa wafiwa, lakini jambo la ajabu ni kuona Magufuli na CCM yake wakienda mbali zaidi na kulifanya tukio hili kuwa mtaji wa kisiasa. Hili ni tukio la kihalifu, kwa kiyo serikali na Raisi Magufuli walipaswa watende kwa umakini wakijua hilo, sio kulitumia kujijengea umaarufu wa kisiasa. Hivi mmefikia kuwa desparate kiasi hicho katika kujaribu kufanywa mpendwe na wananchi? CCM kimekuwa chama kibaya cha kujitembeza?
Ajali nyingi sana zimetokea nchini na kuua watu wasio na hatia. Ni mara ngapi umesikia Raisi Magufuli akitembelea majeruhi wa ajali hizo na kuwapa maelefu ya fedha au kuwajengea mnara wa kumbukumbu au ajali hizo kufanywa tukio la kitaifa? Kwa nini hii ya wahalifu hawa ionwe tofauti - au kwa kuwa inakuja tukielekea uchaguzi Mkuu kukiwa na tetesi kwamba serikali ya Magufuli inazidi kuporomoka katika umaarufu na kuwa katika uchaguzi wa haki hataweza kushinda?
NB: Kwa tukio kama hili Raisi Magufuli alipaswa kufanya yafuatayo badala ya kulitumia tukio kisiasa
Raisi angetoa salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na kwapa pole wafiwa. Angetamka kwamba serikali itagharamia mazishi ya waliokufa ikiwa hawatatambuliwa na ndugu zao, na kugharamia matibabu kwa majeruhi.
Na pia angekumbusha Watanzania kwa ujumla kwamba wajiepushe na kujichukulia mali pale ambapo ajali zinapotokea, iwe gari binafsi au ya mizigo, kwa kuwa kufanya hivyo sio tu sio ubinadamu bali pia ni kitendo cha uhalifu na wanaofanya hivyo wakikamatwa watachukuliwa hatua kali.
Basi, hiyo ingetosha kabisa. Hakuna kutembelea hospitali na kutangaza "nakugawia laki tano ukanunue juice", hakuna kutangaza kujenga mnara wa kumbukumbu, hakuna la zaidi. Kwa kuwa wengi waliopatwa na janga hili kimsingi ni wahalifu.
La sivyo tutarajie siku moja Raisi Magufuli akitembelea majambazi waliojeruhiwa na polisi kwa risasi wakiwa wamelazwa hospitali na kuwapa pole na zawadi za fedha, kwa kuwa anajali sana utu.
Majina ya vibaka wengi waliokufa wakiiba mafuta huku wakimwacha bila msaada dereva wa lori lililopata ajaliSiasa zimekukolea kiasi kwamba haufikirii sawa sawa na uwezo wako mkubwa wa akili.
Huo mnara unaweza kuwa na majina ya watu waliofahamika wamefariki lakini ndugu zao hawajapatikana.
Ipo siku ndugu wanaweza kujitokeza na kukuta jina kwenye mnara wakathibitisha ndugu yao alikuwamo ktk ajali kisha kuhani walipolazwa ndugu zao.
Siasa za namna hii ni hasara kwa jamii yako.
Sasa hilo ndilo linaniudhi mno!ujue hawa waliopata ajali ya kuungua wanapewa huduma na attention kuliko mtu aliyepata ajali akiwa kataika kazi yake halali.
Japo sio wote walikuwa wakiiba mafuta,
Inaonyesha na wewe ni kibaka tu, japo unaweza usiwe wa mafutayaani huyu siyo binadamu kabisa huyu ni mbwa
Nakuunga mkonoHivi hao wezi wa mafuta kwanini walishindwa kumtoa dereva mle ndani walikimbilia mafuta badala ya uahi wa mtu.shujaa ni mmoja tu yule aliyekufa wakati akimwokoa dereva .huyo ndo ajengewe mnara,hao wezi hapana hapana
Sijasema popote nilitaka wasihudumiwe. Nimesema tukio linatumiwa kisiasa. Hivi nyie CCM mmenda shule lakini? Kwa nini mnashindwa kuelewa insha fupi namna hii?Hawawezi kutumia km mtaji hakuna mtaji hapo wa kisiasa. wewe ulitaka watu wasihudumiwe hilo lilikuwa ni janga la Taifa na huo ndio wajibu wa serikali zote duniani
Kaka watu hao kwa sasa ni marehemu na sisi tumekatazwa kuwahukumu wakiwa kwenye hali hiyo kwani hakimu mkuu ndiye watakaekutana naye siku ya mwisho.Inawezekana kwa kiasi fulani, lakini kama ni kawaida yake kufanya hivyo basi sio kampeni.
Lakini ona kwamba tukio hili la moto ni tofauti, kwa kuwa wahanga wengi ni wahalifu wa mitaani, na ndio wapiga kura walio wengi. Ndio maana nikasema, amelivumisha kuliko inavyostahili kwa kuliona kama fursa ya kisisa. Sisemi aose utu,. la hasha, bali katumia tukio lisilostahili.Utu ulipaswa uonyeshwe kwa salamu za rambirambi na kugharamia matibabu, basi. Lakini kaenda mbali sana katika kuteka mioyo ya vibaka waliobaki.
Yaani ukisoma kwa makini nilichaoandika, utaona nakubalina na uliyosema hapa kwa 100%. Lakini utakaposoma kwa umakini zaidi, utaona ninachokataa.Kaka watu hao kwa sasa ni marehemu na sisi tumekatazwa kuwahukumu wakiwa kwenye hali hiyo kwani hakimu mkuu ndiye watakaekutana naye siku ya mwisho.
Jukumu letu sisi ni kuwastiri kwa kuwazika kwa heshima ambayo kila binadamu anastahili kufanyiwa akifariki.