Brown73
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 1,100
- 682
Kabla ya awamu ya 5 nilikua sitaki hata kusikia CCM. Lakini Magu akabadilisha hali ya hewa sijui nisema CCM au uongozi wa serikali, nikadhani wapinzani watakuja na sera nzuri zaidi, yani zaidi ya sera waliokua nao hapo awali lakini imekua kinyume hatimae tunaona, tuna sikia na tunasoma kila siku maneno yao yasio kua na kichwa wala miguu, yaani maneno ya chuki na chuki. Mleta mada anaonyesha chuki yake kupitia hao waliokufa na waliojeruhiwa. Amewaweka wote kwenye kundi la uhalifu, ebufikiria atajisikiaje yule alienda kukimbilia pale ili asaidie na leo yuko mahtuti hospitali au yule aliempoteza ndugu yake ambaye alikua mpita njia.Yaani kama CHADEMA wamekutuma uchafue hali ya hewa umeshindwa huna huruma hata kidogo hivi chadema huwa mnachamaana kweli? akikaa kimya mnaongea vibaya akisaidia pia mnaongea vibaya mnataka afanye nini kilakitu nyie mnaona kibaya hamna sera bora mjikalie kimya kuliko kuendelea kuropoka kama yule mpumbavu wenu lissu anaeropoka mhovyo huko aliko hamna huruma mbwa nyie
Alicho andika huyu mtu kinatia kichefuchefu.
Mungu awerehemu wote waliopoteza maisha na awape awape unfuu waliokua kitandani na maumivu. Na mungu Pia atuepushie ajali Kama hizi.