makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Inasikitisha sana kwamba mpaka sasa NEC na wasimamizi wa Uchaguzi hawataki kutangaza matokeo RASMI YA KURA ilhali matokeo ya vituo vyote vya KATA wameshayapokea.
NEC na wasimamizi hawataki kutangaza matokeo kwa makusudi kabisa ili watu wapandwe na HASIRA HALAFU WAANZE VURUGU NA FUJO NA POLISI AU JWTZ WAINGILIE KATI ILI KUVURUGA MATOKEO HAYO.
HUU NI UPUMBAVU AMBAO WATANZANIA LAZIMA TUUKATAE,HAWA CCM NA NEC WANATAKA KUIPELEKA NCHI HII MAHALI TUSIPOTAKA WATANZANIA KWA SABABU YA INTEREST ZAO. THIS IS NONSENSE!!HII HAIKUBALIKI, LAZIMA NEC NA CCM WATALIPIA HUU UPUUZI WANAOTAKA KUUFANYA.
NEC na wasimamizi hawataki kutangaza matokeo kwa makusudi kabisa ili watu wapandwe na HASIRA HALAFU WAANZE VURUGU NA FUJO NA POLISI AU JWTZ WAINGILIE KATI ILI KUVURUGA MATOKEO HAYO.
HUU NI UPUMBAVU AMBAO WATANZANIA LAZIMA TUUKATAE,HAWA CCM NA NEC WANATAKA KUIPELEKA NCHI HII MAHALI TUSIPOTAKA WATANZANIA KWA SABABU YA INTEREST ZAO. THIS IS NONSENSE!!HII HAIKUBALIKI, LAZIMA NEC NA CCM WATALIPIA HUU UPUUZI WANAOTAKA KUUFANYA.