masanjasb
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 2,364
- 864
Hawajajua shida ya ccm ni kwenye akili na si umri.je ndesamburo na lusinde nani mkubwa?je kigwangwala ni mkubwa kuliko lisu?
ccm wanatakiwa kuwaachia makada wake akili badala ya kuzihifadhi lumumba.
wameingiwa na uoga,vijana wa cdm wanachambua hoja kuliko wa ccm na hyo ndiyo hofu kuu,wanataka vijana wasomi wajitokeze kugombea kupitia ccm