kamtesh
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,395
- 512
Imenishangaza sana mwaka huu mgombea wa CCM kushindwa kwenda kwenye hiyo mikoa. Sababu zilizotolewa na ccm kwanini mgombea wao hajaenda kwenye hiyo mikoa, hazina mashiko. Eti, waziri mkuu ma makamu wake wameitembelea tayari.
Mhh! Mbona waziri mkuu alienda Kilimanjaro, na mikoa mingi tuu ambayo hata yeye kaenda tena kujinadi. Kwanini kashindwa hiyo mikoa tajwa?
Mgombea urais, unashindwa kwenda Kila mmoja wa nchi yako, halafu kesho tena kwa bahati ukashinda, ujiite rais wao!
Kwa chama kikubwa kilichokua na rasilimali nyingi, kushindwa kumpeleka mgombea wao mikoa.minne, kwa mara ya kwanza ni jambo lakushamgaza sana. Au kuna more than meet our eyes and more than hears our ears? CCM mutavuna mulichokipanda miaka mitano iliyopita.
Poleni sana kwa hili.
Mhh! Mbona waziri mkuu alienda Kilimanjaro, na mikoa mingi tuu ambayo hata yeye kaenda tena kujinadi. Kwanini kashindwa hiyo mikoa tajwa?
Mgombea urais, unashindwa kwenda Kila mmoja wa nchi yako, halafu kesho tena kwa bahati ukashinda, ujiite rais wao!
Kwa chama kikubwa kilichokua na rasilimali nyingi, kushindwa kumpeleka mgombea wao mikoa.minne, kwa mara ya kwanza ni jambo lakushamgaza sana. Au kuna more than meet our eyes and more than hears our ears? CCM mutavuna mulichokipanda miaka mitano iliyopita.
Poleni sana kwa hili.