Ha ha haaaa!!! Naendelea kuthibitisha tu kuwa wewe ni jinga la CCM, JingalaoACT wazalendo wamefanya nini cha kushangaza hadi wawe na ubavu wa kusimama na heavy weight CCM?
Mambo ni matamu sana 2020 just a little patience.Siku hizi zanzibar imelala sana sio kama kipindi kile
Sema heavy weight DOLA sio ccm! Ccm wangekuwa heavy weight wangeogopa mpaka bendera za chademaACT wazalendo wamefanya nini cha kushangaza hadi wawe na ubavu wa kusimama na heavy weight CCM?