CCM na mbinu za kubana pua

Bome-e

JF-Expert Member
Jan 3, 2014
17,104
26,070
Hawa watu wanaforce kudidimiza upinzani kwa nguvu, sasa wamevuka mipaka wakidhani kwa kustage kashfa dhidi ya upinzani ndio salama yao!

Salama yenu CCM ni kuwaletea wananchi maendeleo, kutoa elimu bora, huduma za afya na kadhalika! Kubana pua kuframe upinzani hakutawasaidia!

Mbaya zaidi people behind hawana upeo mkubwa, wanaacha lose ends nyingi, sakata la voice note wameumbuka mapema kweupee!

Bado anatafutwa wa kuiga sauti ya Lissu, sijui watakuja na story ipi mpya!
 
Hawana hoja zozote za maana sasa wameamua kuja na mikakati ya kusambaratisha upinzani. Walianzia CUF kwa kumtumia mnafiki Lipumba na sasa wamehamia Chadema kwa kuwatumia waigizaji sauti.
 
Hawana hoja zozote za maana sasa wameamua kuja na mikakati ya kusambaratisha upinzani. Walianzia CUF kwa kumtumia mnafiki Lipumba na sasa wamehamia Chadema kwa kuwatumia waigizaji sauti.

Wamefeli,kama ni pesa washapigwa tayari na mpango wao umegonga mwamba!
 
Mtoa mada umeongea kitu cha maana sana, watanzania wanahitaji maendeleo, elimu bora, huduma bora za afya na mambo mfano wa hayo sio kabana pua na kuigiza sauti huku nchi ikiendelea kufa
 
92cad7c0dff3ffa0f9fc61b638f7000e.jpg


Mbna hakieleweki aiseeeee
 
92cad7c0dff3ffa0f9fc61b638f7000e.jpg


Mbna hakieleweki aiseeeee
Inaeleweka sana,hiyo voice note fungua attachement uisikie,nayo imeigizwa na si wema mwenyewe!Mwishoni wamejisahau na muigizaji achoka kuigiza na kulalamika kuwa "aah steve mimi nimechoka bhana"
Sikiliza vizuri mwishoni
 

Attachments

  • AUD-20170604-WA0025 (online-audio-converter.com).mp3
    616.7 KB · Views: 25
  • Thanks
Reactions: PNC
Walishamshindwa gwajima,nawakashtukiwa
Mapema sana,aibu ikavuka mipaka ya nchi,sasa ndo wataweza kwa yeyote ? Wataishia aibu tu,kuliko waliyo ipata kwa gwajima !

Yaani sasa hivi ccm ni kama hawara mbele ya make wa ndoa ! Wana badilisha kila gia,wakidhani wananchi wata waamini.

Kadiri Siku zinavyopita,ndo ccm inavyozidi kujitia aibu kwa ujinga unaomea mvi na shadubu.

Misiba ikigusa upinzani,wanachanganyiki
iwa,kiasi cha kujitoa ufahamu,kuzuia uombolezaji,rambirambi,utoaji pole,kwakujua misiba hiyo itajaa watu
Na watamfurahia Kowasa ! Matokeo yake wanaishia kupora na rambirambi za wapinzani.

Siasa,wamekataza Lowasa,asizingirwe na wananchi,kwakua watu watamjalia kuliko magofili,na yeyote wa ccm !

Sasa kuogopa hiyo aibu,wanazuia kila tukio
Litakalo mkutanisha Lowasa na umma !
Haisaidii,huyu mtu,watu wamesha mbeba miyoyoni mwao,labda muwauwe wapenzi wake wote na wapo wasio na vyama pia bila kusahau wengine wa ccm.mtaua wangapi ! Na ni zaidi ya nusu ya watu nchini.

Ccm hamtakaa mkubalike tena hata mgawe vitita vya hela mitaani,zitaliwa tu na nyoyo za wengi kubaki kwa Lowasa.

Zaidi sana kinachozidi
Kuharibu,ni hilo kundi la wanaohongwa na kuingia mitandaoni kuunga mkono mambo ambayo yapo wazi kabisa yakionyesha,ubaya wa serikali dhidi ya wengi,kama ukandamizaji,uonevu,uuwaji,uingiliaji misiba ya wapinzani,mikusanyiko ya wapinzani,haki za wabunge wa upinzani bungeni,yule kijana aliyezindua kitabu juu ya
Mwanafunzi,chuo kikuu nk.kundi hili linalosaidia ccm kibabe maeneo mengi,ndo baya zaidi !
Linazidi kufanya watu wengi sana kuichukia ccm.ila mwisho wa amani haupo mbali,na sababu ikiwa ccm,tusubiri tu,tutashuhudia.
 
92cad7c0dff3ffa0f9fc61b638f7000e.jpg


Mbna hakieleweki aiseeeee
Steve anajua huyo mwenyekiti ni nani maana hata jina halijatajwa hata ukiisikiliza voice note ya wema akimuelekeza steve
Lkn hiki kitu haiko sawa bado migomba inajitahidi kuharibu lkn kazi ipo kusafisha utomvu wa ndizi uliowakaa ktk njano zao...
 
Inaeleweka sana,hiyo voice note fungua attachement uisikie,nayo imeigizwa na si wema mwenyewe!Mwishoni wamejisahau na muigizaji achoka kuigiza na kulalamika kuwa "aah steve mimi nimechoka bhana"
Sikiliza vizuri mwishoni
Hii siyo ile yenyewe msidanganye watu. Original inaishia na 001 mwishoni. Acheni kudanganya watu. Ni Mbowe na Wema wala hakuna siri tena.
 
Hii siyo ile yenyewe msidanganye watu. Original inaishia na 001 mwishoni. Acheni kudanganya watu. Ni Mbowe na Wema wala hakuna siri tena.

Huwezi kuelewa,itakuchukua muda ila utaelewa tu so tuliza mpira!
 
Back
Top Bottom