Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Jana usiku Niko mtaa Fulani wa Ilemela panaitwa Magaka nikasikia mtu anatangaza
"Mkutano mkutano,wananchi wote mnakaribishwa kwenye mkutano wa hadhara ulioandaliwa na uongozi wa CCM wilaya utakaofanyika hapa mtaani,ewe Dada,ewe kaka ewe mwananchi unaombwa kuhudhuria mkutano huu,una wasiwasi gani ni mkutano wa CCM chama Dola hata watoto wanatambua"
Hivi nyie CCM na huyo Mwenyekiti wenu mnaona kwamba nyie ndo mna hati miliki ya Nchi hii? Wengine mnawakataza kufanya mikutano nyie mnafanya
Magufuli anajenga miradi mikubwa kwa sifa tena kwa hela za kukopa wakati wananchi wake wanateketea kwa umaskini wa kutupwa
Watanzania lazima tutambue hii CCM haina nia njema na Nchi na huyu Magufuli hana lolote ni walewale tu angekua ana nia njema na Nchi na kutaka kukumbukwa na vizazi na vizazi angetengeneza katiba mpya inayowapa nguvu wananchi na mahakama hapo angekubalika kwa 100% sio hii miradi yake anayoleta iliyojaa ushamba na ulimbukeni wakati baada ya muda itashindwa tu kuendelea.
Poor CCM Poor Magufuli
"Mkutano mkutano,wananchi wote mnakaribishwa kwenye mkutano wa hadhara ulioandaliwa na uongozi wa CCM wilaya utakaofanyika hapa mtaani,ewe Dada,ewe kaka ewe mwananchi unaombwa kuhudhuria mkutano huu,una wasiwasi gani ni mkutano wa CCM chama Dola hata watoto wanatambua"
Hivi nyie CCM na huyo Mwenyekiti wenu mnaona kwamba nyie ndo mna hati miliki ya Nchi hii? Wengine mnawakataza kufanya mikutano nyie mnafanya
Magufuli anajenga miradi mikubwa kwa sifa tena kwa hela za kukopa wakati wananchi wake wanateketea kwa umaskini wa kutupwa
Watanzania lazima tutambue hii CCM haina nia njema na Nchi na huyu Magufuli hana lolote ni walewale tu angekua ana nia njema na Nchi na kutaka kukumbukwa na vizazi na vizazi angetengeneza katiba mpya inayowapa nguvu wananchi na mahakama hapo angekubalika kwa 100% sio hii miradi yake anayoleta iliyojaa ushamba na ulimbukeni wakati baada ya muda itashindwa tu kuendelea.
Poor CCM Poor Magufuli