Uchaguzi 2020 CCM na kampeni chafu dhidi ya Mbowe jimboni Hai

Nimefuatilia Kampeni za Rais Magufuli Jimbo la Hai kwa Mhe. Mbowe Hakika ni Propaganda, uongo, Siasa maji taka kumchafua Mhe. Mbowe.

Magufuli amesema kwa miaka yote 5 Mhe. Mbowe hakuna alichochangia katika maendeleo ya wana Hai. Kwamba Mbowe alikuwa akitoka nje wakti wa Bajeti na alikuwa haongei na Mawaziri wa Miundombinu, Afya na Elimu ndiyo maana Hai imechelewa Sana!!! Msikilize Mhe. Mbowe akiwa Bungeni:



Wakti Magufuli anasema maendeleo hayana CHAMA bado ameonekana kujipinga mwenyewe kwa kudai hakuwa na Connection ya kufanya kazi na Halmshauri ya Hai kwa vile Mbunge ni wa CHADEMA!
WHAT A CONTRADICTION?

Rais Magufuli anaonekana ni mwongo, mnafiki na MBAGUZI kwa kuyatenga majimbo yanayoongozwa na Upinzani waziwazi. Hii nchi Ni ya mfumo wa Vyama vingi hivo Rais anayechaguliwa hawezi kukataa kupeleka maendeleo ya jimbo fulani kwa vile tu wamechagua Wabunge na Madiwani toka
Chama Cha Upinzani!
Watamfundisha MEKO kuwa Mbowe ni KAKA, asubirie aone

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Nimepatatu picha kwamba Mbowe amekua tishio kubwa sana kisiasa.
Sijawahi kusikia mheshimiwa akimjadili mbunge kwa kina kama alivyomuelezea Mbowe leo pale Bomang'ombe
Lissu alisema yote pale Moshi aliposema kwamba bila Chadema Tanzania hii ingekuwa tofauti sana na kwamba bila Mbowe Chadema nayo ingekuwa tofauti kabisa. Mbowe ameumizwa sana katika miaka hii mitano. Ajabu ni kwamba yeye ndiye analaumiwa sasa kwamba ameumiza watu wengine!
 
Nimefuatilia Kampeni za Rais Magufuli Jimbo la Hai kwa Mhe. Mbowe Hakika ni Propaganda, uongo, Siasa maji taka kumchafua Mhe. Mbowe.

Magufuli amesema kwa miaka yote 5 Mhe. Mbowe hakuna alichochangia katika maendeleo ya wana Hai. Kwamba Mbowe alikuwa akitoka nje wakti wa Bajeti na alikuwa haongei na Mawaziri wa Miundombinu, Afya na Elimu ndiyo maana Hai imechelewa Sana!!! Msikilize Mhe. Mbowe akiwa Bungeni:



Wakti Magufuli anasema maendeleo hayana CHAMA bado ameonekana kujipinga mwenyewe kwa kudai hakuwa na Connection ya kufanya kazi na Halmshauri ya Hai kwa vile Mbunge ni wa CHADEMA!
WHAT A CONTRADICTION?

Rais Magufuli anaonekana ni mwongo, mnafiki na MBAGUZI kwa kuyatenga majimbo yanayoongozwa na Upinzani waziwazi. Hii nchi Ni ya mfumo wa Vyama vingi hivo Rais anayechaguliwa hawezi kukataa kupeleka maendeleo ya jimbo fulani kwa vile tu wamechagua Wabunge na Madiwani toka
Chama Cha Upinzani!
Maendeleo hayana chama, maana yake wananchi wa chama chochote wanaweza kumchagua mgombea yoyote mwenye uwezo wa kuwaletea maendeleo. Sasa kama majimbo yanayoshikiliwa na upinzani yameshindwa kuwaletea maendeleo wananchi kwanni wanachama wao wasiichague CCM.
 
Mkuu ungetakiwa uandike kuhusu mada iliyopo hewani..! Sasa hicho ulichoandika umechangia nini kwenye mada??! Acha mahaba

ni sehem moja yapo ya kuonyesha nyie sio mazima, pale ambapo mnaonekana sio wazima lazima tuseme
 
Katiba yetu ingekuwa inalazimisha viongozi wakuu kupimwa afya kwa lazima hasa afya ya akili, hakika majibu ya mzee wetu yangeishangaza dunia
Nyinyi na yule kichaa wenu wa ubelgiji ndo akili zenu zimepungua. Lissu ukimuangalia tu usoni unaona kabisa hamnazo.
 
Mhe. Mbowe ni tishio kwa Utawala wa CCM na ndiyo Magufuli na CCM yake wanataka kuhakikisha Mbowe harudi Bungeni by hooks and crooks!
DC Sabaya Bangimtu kapelekwa Hai kimkakati ili kumdhoofisha Mbowe lakini bado ameshindwa.

Lakini linalowaumiza sana CCM na Mahufuli ni KUIONA CHADEMA IKIWA MOJA NA IMARA baada ya mbinu xote chafu za KUIA NA KUIMALIZA CHADEMA. JARIBIO la mauaji ya Tundu Lissu, mauaji ya Chacha Wangwe,mauaji ya Kamanda Mawazo, kupotea kwa Ben Saanane , Kununua Wabunge na Madiwani wa CHADEMA imekuwa ni sehemu ya mikakati na mbinu chafu za KUIMALIZA CHADEMA!!!!!
Chacha wangwe naye ni CCM wanahusika? Huoni hata aibu?
 
Nimepatatu picha kwamba Mbowe amekua tishio kubwa sana kisiasa.
Sijawahi kusikia mheshimiwa akimjadili mbunge kwa kina kama alivyomuelezea Mbowe leo pale Bomang'ombe

Politics demands you to mobilise victors through an object or things done or policies of the person- thats is standard in politics. anything contrary is not in politics. What Maguli is doing it is what pilitical mobilisation against a competititor demands.

Like wise the opposition today is mobilised against Magufuli and his policies, thats how politics is conducted. The opposition was right as Magufuli is.

Politics - is activities geared to controling power for distribution of resources and status. That is polical gold standard, any thing contrary is a lie.
 
Kuna mambo hua yanafurahishaga sana...

Mwisho wa ubaya ni aibu...



Cc: mahondaw
Aibu kula ruzuku, michango ya wabunge 1.5Mil kila mbunge, bila haya. Hili genge la wahuni, lazima litokomee. Lissu akiwa moshi juzi amelazimika kuomba michango yani kama omba omba huku mwenye chama yupo tu anachekacheka jukwaani. Mshindwe tu, wachumia tumbo na mawakala wa mashoga ninyi.
 
Nimefuatilia Kampeni za Rais Magufuli Jimbo la Hai kwa Mhe. Mbowe Hakika ni Propaganda, uongo, Siasa maji taka kumchafua Mhe. Mbowe.

Magufuli amesema kwa miaka yote 5 Mhe. Mbowe hakuna alichochangia katika maendeleo ya wana Hai. Kwamba Mbowe alikuwa akitoka nje wakti wa Bajeti na alikuwa haongei na Mawaziri wa Miundombinu, Afya na Elimu ndiyo maana Hai imechelewa Sana!!! Msikilize Mhe. Mbowe akiwa Bungeni:



Wakti Magufuli anasema maendeleo hayana CHAMA bado ameonekana kujipinga mwenyewe kwa kudai hakuwa na Connection ya kufanya kazi na Halmshauri ya Hai kwa vile Mbunge ni wa CHADEMA!
WHAT A CONTRADICTION?

Rais Magufuli anaonekana ni mwongo, mnafiki na MBAGUZI kwa kuyatenga majimbo yanayoongozwa na Upinzani waziwazi. Hii nchi Ni ya mfumo wa Vyama vingi hivo Rais anayechaguliwa hawezi kukataa kupeleka maendeleo ya jimbo fulani kwa vile tu wamechagua Wabunge na Madiwani toka
Chama Cha Upinzani!

Mropokaji
 
Nimefuatilia Kampeni za Rais Magufuli Jimbo la Hai kwa Mhe. Mbowe Hakika ni Propaganda, uongo, Siasa maji taka kumchafua Mhe. Mbowe.

Magufuli amesema kwa miaka yote 5 Mhe. Mbowe hakuna alichochangia katika maendeleo ya wana Hai. Kwamba Mbowe alikuwa akitoka nje wakti wa Bajeti na alikuwa haongei na Mawaziri wa Miundombinu, Afya na Elimu ndiyo maana Hai imechelewa Sana!!! Msikilize Mhe. Mbowe akiwa Bungeni:



Wakti Magufuli anasema maendeleo hayana CHAMA bado ameonekana kujipinga mwenyewe kwa kudai hakuwa na Connection ya kufanya kazi na Halmshauri ya Hai kwa vile Mbunge ni wa CHADEMA!
WHAT A CONTRADICTION?

Rais Magufuli anaonekana ni mwongo, mnafiki na MBAGUZI kwa kuyatenga majimbo yanayoongozwa na Upinzani waziwazi. Hii nchi Ni ya mfumo wa Vyama vingi hivo Rais anayechaguliwa hawezi kukataa kupeleka maendeleo ya jimbo fulani kwa vile tu wamechagua Wabunge na Madiwani toka
Chama Cha Upinzani!
Kama dhambi ya uongo ipo kweli uongozi wa malaika tutausikia tu
 
Magufuli hana hoja , na nadhani ndiye mgombea duni kabisa kuwahi kugombea urais kwa tiketi ya ccm
1603395593163.png
 
Nimefuatilia Kampeni za Rais Magufuli Jimbo la Hai kwa Mhe. Mbowe Hakika ni Propaganda, uongo, Siasa maji taka kumchafua Mhe. Mbowe.

Magufuli amesema kwa miaka yote 5 Mhe. Mbowe hakuna alichochangia katika maendeleo ya wana Hai. Kwamba Mbowe alikuwa akitoka nje wakti wa Bajeti na alikuwa haongei na Mawaziri wa Miundombinu, Afya na Elimu ndiyo maana Hai imechelewa Sana!!! Msikilize Mhe. Mbowe akiwa Bungeni:



Wakti Magufuli anasema maendeleo hayana CHAMA bado ameonekana kujipinga mwenyewe kwa kudai hakuwa na Connection ya kufanya kazi na Halmshauri ya Hai kwa vile Mbunge ni wa CHADEMA!
WHAT A CONTRADICTION?

Rais Magufuli anaonekana ni mwongo, mnafiki na MBAGUZI kwa kuyatenga majimbo yanayoongozwa na Upinzani waziwazi. Hii nchi Ni ya mfumo wa Vyama vingi hivo Rais anayechaguliwa hawezi kukataa kupeleka maendeleo ya jimbo fulani kwa vile tu wamechagua Wabunge na Madiwani toka
Chama Cha Upinzani!

Alaaniwe huyo mbaguzi, ndo maana Magonjwa ya zinaa yamemla vimiguu vimebaki kama mikono
 
Nimepatatu picha kwamba Mbowe amekua tishio kubwa sana kisiasa.
Sijawahi kusikia mheshimiwa akimjadili mbunge kwa kina kama alivyomuelezea Mbowe leo pale Bomang'ombe
Kule Kenya Raila na Kenyatta wameungana wanajenga nchi, hapa kwetu bado tunapuuzana !
 
Chonde chonde ubaguzi hauna chama! Huyu mhutu tuungane wote arudi urundi ama sivyo atatumaliza. Hii ni wananchi wote bila kujali chama! huyu ni dracular mnyonya damu kabisa! Mimi niko radhi kukubali tukose wabunge lakini hili dubwasha lifungashe!! Narudia tena nitaridhika kupoteza wabunge hata wote lakini Mrundi aondoke CCM mnielewe
TushaAndaa vikatio.
 
Nimefuatilia Kampeni za Rais Magufuli Jimbo la Hai kwa Mhe. Mbowe Hakika ni Propaganda, uongo, Siasa maji taka kumchafua Mhe. Mbowe.

Magufuli amesema kwa miaka yote 5 Mhe. Mbowe hakuna alichochangia katika maendeleo ya wana Hai. Kwamba Mbowe alikuwa akitoka nje wakti wa Bajeti na alikuwa haongei na Mawaziri wa Miundombinu, Afya na Elimu ndiyo maana Hai imechelewa Sana!!! Msikilize Mhe. Mbowe akiwa Bungeni:



Wakti Magufuli anasema maendeleo hayana CHAMA bado ameonekana kujipinga mwenyewe kwa kudai hakuwa na Connection ya kufanya kazi na Halmshauri ya Hai kwa vile Mbunge ni wa CHADEMA!
WHAT A CONTRADICTION?

Rais Magufuli anaonekana ni mwongo, mnafiki na MBAGUZI kwa kuyatenga majimbo yanayoongozwa na Upinzani waziwazi. Hii nchi Ni ya mfumo wa Vyama vingi hivo Rais anayechaguliwa hawezi kukataa kupeleka maendeleo ya jimbo fulani kwa vile tu wamechagua Wabunge na Madiwani toka
Chama Cha Upinzani!
Amebaki kutumia taasisi za serikali kujaza watu kwenye mikutano
IMG-20201022-WA0003.jpeg
 
Back
Top Bottom