Wachaga tumeikumbatia Chadema toka 95 ila tumeambulia umasikini tu
Tunataka Ccm ije itukomboe kutoka kwenye huu utawala wa uonevu wa Chadema
Kama Lissu alikula matapishi yake kwa Lowassa ila bado watu wanamuamini na wanataka kumpa nchi hivyo hata kwa Magufuli pia ni hivyo hivyo.Hivi kuna mtu bado anamwamini jiwe?
Ole Sabaya tuondolee Mbowe huko hai
Majimbo yapi ya CCM yenye maendeleo kuliko uchagani?
nakwambia Hai Mbowe asahau, hana chake, safari hii wananchi wa hai wameamua kumuondoa mzee Mbowe, wananchi wanataka kijana SafishaWachagga wa Hai aise siyo mbumbumbu kama maeneo mengine.....Wachagga nawaaminia na wanajitambua.
Kama ni ushindi kwa CCM lazima waibe...nje ya hapo hawapati kitu!!
Kura za CCM ziko kwa OCD Hai:
utapata jibu wiki ijayo sio mbali trh 28 ndio utajua wananchi wa hai wamemchoka MboweHivi Hai kuna wa kudanganywa na Magufuli ?
Kamalizwa kisiasa wapi? Hapo gheto kwa cyprian Musiba mnapovuta Bangi? Hiyo meza utaipindulia wapi huko? Maana Hai watu wengi wana Akili timamu hawaitaki CCMsema mbowe kamalizwa kisiasa wiki ijayo asahau kuhusu ubunge wa Hai, wiki ijayo watu wanapindua meza mapema asubuhi
Wananchi wa wapi unawasemea? au wananchi wa hapo kwa Shemeji yako unaposhinda unaangalia tamthilia ?nakwambia Hai Mbowe asahau, hana chake, safari hii wananchi wa hai wameamua kumuondoa mzee Mbowe, wananchi wanataka kijana Safisha
Nchi inaenda kupata uhuru upya baada ya kuwa iliuzwa na mkapa 1998, kaburu Mkoloni’mweusi tokea chato anarejea kuwa Raia wa kawaidamwisho wake ni 28 octoba
Nimefuatilia Kampeni za Rais Magufuli Jimbo la Hai kwa Mhe. Mbowe Hakika ni Propaganda, uongo, Siasa maji taka kumchafua Mhe. Mbowe.
Magufuli amesema kwa miaka yote 5 Mhe. Mbowe hakuna alichochangia katika maendeleo ya wana Hai. Kwamba Mbowe alikuwa akitoka nje wakti wa Bajeti na alikuwa haongei na Mawaziri wa Miundombinu, Afya na Elimu ndiyo maana Hai imechelewa Sana!!! Msikilize Mhe. Mbowe akiwa Bungeni:
Wakti Magufuli anasema maendeleo hayana CHAMA bado ameonekana kujipinga mwenyewe kwa kudai hakuwa na Connection ya kufanya kazi na Halmshauri ya Hai kwa vile Mbunge ni wa CHADEMA!
WHAT A CONTRADICTION?
Rais Magufuli anaonekana ni mwongo, mnafiki na MBAGUZI kwa kuyatenga majimbo yanayoongozwa na Upinzani waziwazi. Hii nchi Ni ya mfumo wa Vyama vingi hivo Rais anayechaguliwa hawezi kukataa kupeleka maendeleo ya jimbo fulani kwa vile tu wamechagua Wabunge na Madiwani toka
Chama Cha Upinzani!
Sasa mnajiona wazima nyie? Ivi nyie ni wa kufukuza wabunge kipindi cha corona alafu mnajiita MNA demokrasia
Dawa ipi hapo kwa mfano? nini kazi ya upinzani? Kazi ya upinzani ni kupinga kukataa ujinga upumbavu wizi uonevu unyanyasaji uovu wote wa CCM, nyinyi wategemea uteuzi ndiyo kwisha kabsa, DC Sabaya Hana lolote propaganda zake za kishamba haramu za kishetani zimefeli tarehe 28 Nchi inaenda kupata uhuru kaburu Mkoloni mweusi atarejea chato ndipo Sabaya ataenda kuchunga ng’ombe na kuvuta BangiTulieni dawa iingie vizuri. Jitu hata hospital, maji, masoko, barabara linashindwa kuongea kazi yake kuhamasisha migomo ya kipuuzi nonsense kabisa.. Kwisha habari yake,aendelee kupiga faru John wake tu.Hongera DC. Sabaya, hakika kazi yako ni njema Sana.
Alisema Halima mdee hajaomba chochote Bungeni kumbe hakujua Halima mdee hurekodi kila anachoongea Bungeni akamuumbua kwa kuachia video zote akiwa BungeniMagufuli Ni mnafiki Sana na huwa anadhani wananchi hawajui kinachoendelea, lakini pia tufahamu Ni kwanini waliamua kufuata bunge live ili wananchi tusisikie kile wabunge wetu wanachochangia
Mzee anahisi labda bado tuko zama za mediaval something very bad in modern poltiics. Hao wakazi wa Hai wengi wameelimika na habari zote za bunge wanazifuatilia, sasa sijui anamdanganya nani? Probably anajidanganya mwenyeweDuh,usicheze na teknolojia inaumbua sana
Aibu ilikuwa kwake mkulu😂😂Alisema Halima mdee hajaomba chochote Bungeni kumbe hakujua Halima mdee hurekodi kila anachoongea Bungeni akamuumbua kwa kuachia video zote akiwa Bungeni
asee huyu niaje ni kichwa hamna nawazaga ilikuwaje ikawa hivi...watz tunakwama arfu Yani huwezi amini Kama jiwe ni kichwa ndogo kiasi hii asee Yani ni mkuda wa kutosha manigaNimefuatilia Kampeni za Rais Magufuli Jimbo la Hai kwa Mhe. Mbowe Hakika ni Propaganda, uongo, Siasa maji taka kumchafua Mhe. Mbowe.
Magufuli amesema kwa miaka yote 5 Mhe. Mbowe hakuna alichochangia katika maendeleo ya wana Hai. Kwamba Mbowe alikuwa akitoka nje wakti wa Bajeti na alikuwa haongei na Mawaziri wa Miundombinu, Afya na Elimu ndiyo maana Hai imechelewa Sana!!! Msikilize Mhe. Mbowe akiwa Bungeni:
Wakti Magufuli anasema maendeleo hayana CHAMA bado ameonekana kujipinga mwenyewe kwa kudai hakuwa na Connection ya kufanya kazi na Halmshauri ya Hai kwa vile Mbunge ni wa CHADEMA!
WHAT A CONTRADICTION?
Rais Magufuli anaonekana ni mwongo, mnafiki na MBAGUZI kwa kuyatenga majimbo yanayoongozwa na Upinzani waziwazi. Hii nchi Ni ya mfumo wa Vyama vingi hivo Rais anayechaguliwa hawezi kukataa kupeleka maendeleo ya jimbo fulani kwa vile tu wamechagua Wabunge na Madiwani toka
Chama Cha Upinzani!