opportunist2012
Member
- Feb 8, 2012
- 92
- 8
Wana CDM CCM inafanya kila njia kuyachukua baadhi ya majimbo ya ubunge ya CDM.Baada ya Lema hatujui nani...labda Mnyika au Tundu Lissu.Pamoja na hayo uhakika wa kuchukua tena jimbo la Arusha ni 100% hata CDM ikisimamisha jiwe.CCM haiwezi kupambana na NGUVU YA UMMA.Nasikia serikali yote itahamia Arusha kipindi cha kampeni....CCM wameweka mikakati mikali sana ya kulitwaa jimbo la Arusha.Tena kwa gharama yeyote...ha!haaa!haaaaaaaa!....wanajidanganya.